Unforgettable
JF-Expert Member
- Aug 1, 2019
- 5,584
- 12,461
Kwa nini unataka kuuweka kwenye Autocad? Nakushauri uweke mlango kati ya jiko na korido ili mtu asilazimike kupita sebuleni akitaka kwenda jikoni kutokea vyumbani na vice versa.Kabla haijawekwa kwa AutoCad, toa changamoto yako hapa, nini kimekosewa, nini kipo sawa...wapi parekebishwe?
note;Fundi kanipa gharama yake ya kujenga msingi pekee kwa ukubwa huu wa nyumba ni 3M???naombeni ushauri View attachment 2270757
shukraniKwa nini unataka kuuweka kwenye Autocad? Nakushauri uweke mlango kati ya jiko na korido ili mtu asilazimike kupita sebuleni akitaka kwenda jikoni kutokea vyumbani na vice versa.
Amandla...
naona kubwa hiyo ni gharama ya fundi tuHiyo 3m ni kubwa ama ndogo
sawaGharama za ujenzi wa msingi zinategemea na mazingira nyumba itakapojengwa (site location). Kama eneo ni tambarare, au kuna mwinuko, au kuna bonde, au kuna miti, au visiki, au mawe, aina ya udongo na kadhalika na kadhalika.
Sent using Jamii Forums mobile app
Amesema makadirio ya matofali ya msingi ni ngapi?naona kubwa hiyo ni gharama ya fundi tu
Umepigwa sana mara 3naona kubwa hiyo ni gharama ya fundi tu
Mwambie akupe mchanganuo. Kufanya setting kiasi gani, kusimamia uchimbaji kiqsi gani, Zege la kwenye msingi kiasi gani, kujenga kuta za msingi kiasi gani, kujazia udongo kiasi gani, kupanga mawe, kuweka dpm na dpc kiasi gani, kunyunyizia dawa za mchwa kiasi gani, na kumwaga jamvi kiasi gani. Inabidi akueleze ufundi wake unaishia wapi ( kama hiyo gharama ni pamoja na ya vibarua au ni ya kwake yeye kama msimamizi).naona kubwa hiyo ni gharama ya fundi tu
Hiyo pia itasaidia kuongeza mwanga kwa korido.Kwa nini unataka kuuweka kwenye Autocad? Nakushauri uweke mlango kati ya jiko na korido ili mtu asilazimike kupita sebuleni akitaka kwenda jikoni kutokea vyumbani na vice versa.
Amandla...
Inategemea eneo ndg ulilopo, lakini kwa makadirio hayo iko kawaidaKabla haijawekwa kwa AutoCad, toa changamoto yako hapa, nini kimekosewa, nini kipo sawa...wapi parekebishwe?
note;Fundi kanipa gharama yake ya kujenga msingi pekee kwa ukubwa huu wa nyumba ni 3M???naombeni ushauri View attachment 2270757
Kabla haijawekwa kwa AutoCad, toa changamoto yako hapa, nini kimekosewa, nini kipo sawa...wapi parekebishwe?
note;Fundi kanipa gharama yake ya kujenga msingi pekee kwa ukubwa huu wa nyumba ni 3M???naombeni ushauri View attachment 2270757
Acha kusagia wenzio kunguni [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mkuu achana na huyo fundi atakupiga. Kuna fundi mwaminifu ni mcha Mungu ametoka kunijengea nyumba yangu ningependa nikuunganishe nae kama kweli unahitaji fundi
@Kingsmann [emoji849][emoji849]Kabla haijawekwa kwa AutoCad, toa changamoto yako hapa, nini kimekosewa, nini kipo sawa...wapi parekebishwe?
note;Fundi kanipa gharama yake ya kujenga msingi pekee kwa ukubwa huu wa nyumba ni 3M???naombeni ushauri View attachment 2270757