Ujenzi Wa Reli Ya Kimataifa Dar Es Salaam hadi Morogoro Washika Kasi

Wekeni umeme kwanza. Jengeni vituo vya kisasa ndiyo muanze matangazo.
 
Kwani wakoloni hawakujenga reli, hawakujenga viwanja vya ndege, hawakujenga bandari na viwanda? Kanini Nyerere na wenzake waliamua kuwafukuza?
 
Nakumbuka mwaka 2002 nilienda mkoa wa Kagera kwa gari ila nilienda huko kwa siku 2 tokea Dar, mara ya kwanza nililala SIngida na tukaenda lala Kahama..! Sikuhizi nasikia siku usiku mmoja tu Kahama siku ya pili unaingia Bk, Mikoa ya Lindi na Mtwara hapo nyuma walikuwa wanalala wakati ni Km 500+ lakini sikuhizi masaa 8 tu umefika Mtwara...! Sijui unawaza turudi huku ama vipi..!!
 
HIYO RELI YENU HAIWEZI KUNISAIDIA KUPATA CHAKULA WALA KUNIPELEKEA WATOTO WANGU SHULE
 

Nilidhani imekaribia huku kwetu Itigu kumɓe bado kabisa.

Akina mami wa Mwanza itabidi wasubiri mpaka awamu ya Sita!
 

Hapana. Nawaza tu side effect na opportunity cost ya hili neno maendeleo. Nawaza pia kama Kuna uwezekano maendeleo yakawa sambamba na kutunza asili. Ujenzi bila kukata mti, Na nimewaza tu endapo isipokuwa hivi na vijiji vyote duniani vikawa na maendeleo magorofa, malami, construction sites n.k dunia itakuwaje.

Ni mawazo tu si kuwa sitaki maendeleo.
Ndege na wanyama wasio na akili ya maendeleo wenyewe wanafurahia maisha ya asili, tunapoharibu asili wanahama na hawana barabara wala treni Ila wana namna zao za Kuhama. Lakini mm si ndege au mnyama ni binadamu natafsiri maendeleo kama ujenzi, viwanda n.k that's we human.
 
-esigiara
-stegolaz goji
-dirimulaina,bombadia
-mfugale
-tanzanite briji.


 
Trillion 1.5 apewe lissu maana kawa omba omba.

Serekali yenyewe ni omba omba huku inakusanya kodi, itakuwa huyo Lissu mliyempiga risasi na ana zaidi ya mwaka kitandani bila kufanya kazi?
 
Wengine wawe wanacheza Ngoma na kutwa kuisifia CCM halafu wengine wawachangie hela za maendeleo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
HIYO RELI YENU HAIWEZI KUNISAIDIA KUPATA CHAKULA WALA KUNIPELEKEA WATOTO WANGU SHULE
Reli ni njia mmoja wapo ya usafiri,itasafirisha wewe,mwalimu,mwanafunzi askari,wagonjwa,madawa,daktari,mbolea,mkulima,mfanyabiashara,bidhaa mbali mbali,inakugusa upende usipende.
 
TAZARA pia ilishika kasi Demokrasia na utawala wa Sheria ndio unatakiwa ushike kasi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…