Ujenzi Wa Reli Ya Kimataifa Dar Es Salaam hadi Morogoro Washika Kasi

"Hongera sana Serikali"
 
JPM kiboko yao mgao wa umeme si hoha tena, tumesahau ya,maendeleo ya mgao wa umeme. Magazeti, redio na TVs walitajirika kwa malipo kutoka Tanesco ya matangazo ya ratiba za mgao wa umeme.

Kuliepusha hili shirika la umeme na kijirudia kwa na hasara na aibu liloloitia Taifa huko nyuma na pendekeza jina lovadilishwe na itasaidia Watanzania kusahau machungu lilllotuletea.

Vitu kama madawati sio ishu pasua kichwa, hatushangai CDM kubakia na agenda ya ulaghai na uongo na wana upepeta kwelikweli..
 
kwa taarifa nilizozipata mpaka Disemba mwaka huu ngoma itakua imekamilika mpaka morogoro.
 
kwa taarifa nilizozipata mpaka Disemba mwaka huu ngoma itakua imekamilika mpaka morogoro.

Wangeleta Engines na mabehewa machache ikaanza safari za DRT kwa abiria DSM mpaka pugu angalau. Chenji ianze rudi mdogomdogo. Pugu sitesheni 30 seconds. Chezea Magufuli wewe!!
 
Utekelezaji unaendelea. ..tunaahidi na kutekeleza..

Maendeleo ya Vitu na sio ya Watu yana maana gani Mkuu ,hebu tupatie Faida kadhaa kuwa na Miundombinu ambayo ita washinda Raia kuitumia kwa Sababu ya Hali zao za Uchumi ?
 
Yaani reli ya Dar-Moro ni ya kimataifa? Au unamaanisha kiwango cha kimataifa? Kwa vyovyote, naipongeza serikali.
 
Wakati JPM anatangaza mpango wake wa kujenga reli ya umeme kuna watu walimuita mwehu anaota ndoto za mchana.
 
Wengine wapo busy kuzungusha mabakuli ya msaada wa kulipia watoto wao ada
 
Wangeleta Engines na mabehewa machache ikaanza safari za DRT kwa abiria DSM mpaka pugu angalau. Chenji ianze rudi mdogomdogo. Pugu sitesheni 30 seconds. Chezea Magufuli wewe!!
mradi una phase nne kama sijakosea; ya kwanza ambayo ni toka Dar to Moro niliambiwa itakamilika Disemba kama kutakuwa na mabadiliko itakua ni changamoto za kiutendaji tu.
 
Hii ndio habari ifaayo kusikika kwa watanzania, sio habari za yule mjinga kuwadi wa mabeberu TAL, acha baridi imnyooshe kwa ufala wake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maendeleo hayana vyama
#VivaJPM
 
Kodi zetu wala haku a haj ya kumsifu sn tena amefanya bil makubaliano ....kiongozi anapaswa kutuambia na kufanya kitu kipya kabisa mabwawa ns reli yalikuwa lwenye mipango...... ccm ingekuaa na uthubutu ingeketa katiba mpyA
Katiba mpya si tulisusia wenyewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…