Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Achana na hilo shimo litakusumbua fanya mambo mengineNaomba ushauri. Nimechimba shimo na kukutana na maji kwa kina cha futi tisa
Nifanye nini wapendwa? Yaani nimekwama
Mbona soak away ipo karibu sana na msingi wa nyumbaTumieni hii hamtajuta, miaka 50 haijai haina service, nichekini 0784934147View attachment 1609995View attachment 1609996View attachment 1609997
Mbona soak away ipo karibu sana na msingi wa nyumba
Naomba ushauri. Nimechimba shimo na kukutana na maji kwa kina cha futi tisa.
Nifanye nini wapendwa? Yaani nimekwama.
Hizo septic zinadizain gani mkuu unatia na bacteria/enzyme?
Futi tisa zinatosha. Ili kulinda mazingira, ni bora shimo hilo ukaliweka kwenye futi nane mwisho. Mimina zege kali chini. Pembeni weka matofali ya kuyalaza. Chapia kwa ndani, weka na niru. Hata tone moja la maji lisitoke nje kuingia ndani, wala la ndani lisitoke kwenda nje, isipokuwa kwenye majitaka yanayoingia na yatokayo tu.
Dizaini ya septiki tenki utakalojenga inabidi iboreshwe. Binafsi nimeshiriki kusanifu na kutekeleza maseptiki tenki bora na ya kisasa; ambapo wanafunzi walioyafanyia utafiti maabara, wameyakuta na ufanisi mkubwa kwenye kuondoa uchafu. Maji yatokayo kwenye tenki, ukiyaangalia huwezi kuamini yanatoka kwenye septiki tenki. Rafiki yangu yeye alichukua dizaini hiyo na kuiboresha, na ambapo maji yatokayo kwenye septiki tenki ni safi kiasi kwamba anayatumia kumwagilizia bustani.
Mlenge.
Hizo septic zinadizain gani mkuu unatia na bacteria/enzyme?
Elezea kidogoHapana. Hatuongezi vimeng'enyo wala bakteria. Zenyewe zinagelezea utendaji kazi wa UASB.