Ujenzi wa stendi ya mabasi yaendayo mikoani ktk eneo la Mbezi mwisho jijini dsm ulitakiwa kuanza mwezi huu wa Julai kwa mujibu wa kauli ya uongozi wa jiji iliyotolewa mwaka jana, je ujenzi huo umeanza au umeahirishwa?
Sababu iliyo nisukuma kujua jambo hilo ni kutokana na usumbufu mkubwa uliopo ktk stendi ya ubungo, msongamano n.k.
Sina hakika lkn kulikuwa na mvutano wapi haswa stendi hiyo ijengwe, mbezi mwisho au luguruni/kibamba, hii ni kutokana na eneo la mbezi kuwa finyu nk, je muafaka umepatikana?
Tunafahamu kuwa stendi ya mabasi ya mikoani na nchi jirani ni chanzo kikubwa cha mapato ya nchi yetu haswa ktk jiji la Dsm hiyo ni muhimu mamlaka husika ziharakishe ujenzi wa stendi hiyo na ijengwe mahali panapo faa kwa muda mrefu.
Sent from my TECNO-W3LTE using JamiiForums mobile app
Sababu iliyo nisukuma kujua jambo hilo ni kutokana na usumbufu mkubwa uliopo ktk stendi ya ubungo, msongamano n.k.
Sina hakika lkn kulikuwa na mvutano wapi haswa stendi hiyo ijengwe, mbezi mwisho au luguruni/kibamba, hii ni kutokana na eneo la mbezi kuwa finyu nk, je muafaka umepatikana?
Tunafahamu kuwa stendi ya mabasi ya mikoani na nchi jirani ni chanzo kikubwa cha mapato ya nchi yetu haswa ktk jiji la Dsm hiyo ni muhimu mamlaka husika ziharakishe ujenzi wa stendi hiyo na ijengwe mahali panapo faa kwa muda mrefu.
Sent from my TECNO-W3LTE using JamiiForums mobile app