Ujenzi wa Terminal III ya J.K Nyerere International Airport waanza

 
Last edited by a moderator:
Haya ngoja tusubiri wasije wakarudia kujenga "banda la kuku" kama lililopo sasa! Wajifunze kwa ndugu zao hata wa kichina pale PEK beijng , Amsterdam nk.
 
JNIA -Terminal 3
 

Attachments

  • 1440738241755.jpg
    73.8 KB · Views: 2,408
Naoana maendeleo yapo, tutarajie uzinduzi kabla ya mwisho wa mwaka huu





 
Ramani ya Mchina ndo ilikuwa ya Ukweli huu uzushi tu

Sema button ya LIKE haipo, ningekupa tano mwanangu. Ile ya Mchina ilikuwa n kiboko. Nadhani mafisadi walipita na hela za mradi wakatubakizia bora mradi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…