Ujenzi wa uzio wa matofali

Ujenzi wa uzio wa matofali

BabuLeo

Member
Joined
Sep 12, 2018
Posts
29
Reaction score
13
Habari naomba kuuliza makadirio ya ujenzi wa uzio wa kawaida tu wa matofali kwenye eneo lenye urefu mita 120 na upana mita 80 inaweza kutumia matofali mangapi? Nataka nianze kukusanya tofali mdogomdogo
 
120m x 80m, hizi ni eka 2 na chenchi juu, hii ni estates sio kiwanja, hongera. Tafuta fundi akufanyie proper estimates ila unaweza kupata mwanga kidogo hapa.

Jumla ya mzunguko- 400m
Urefu wa tofali moja - 0.48m
No ya tofali kwa kila kozi - 400/0.48 = 833.3 tofali.
Msingi avarage kozi 5 za tofali za 6” - 833.3 x 5 = 4167 tofali
Juu avarage kozi 8 za tofali za 5” - 833.3 x 8 = 6666 tofali.

Jumla tofali za 6”ni 4167 na za 5” ni 6666, hii ni rough estimate, ila fundi anaweza kukupa kilicho bora zaidi kutokana na nature ya eneo lako.
 
Thanks nlitaka tu a rough estimates nianze kukusanya mdogomdogo
 
120m x 80m, hizi ni eka 2 na chenchi juu, hii ni estates sio kiwanja, hongera. Tafuta fundi akufanyie proper estimates ila unaweza kupata mwanga kidogo hapa.

Jumla ya mzunguko- 400m
Urefu wa tofali moja - 0.48m
No ya tofali kwa kila kozi - 400/0.48 = 833.3 tofali.
Msingi avarage kozi 5 za tofali za 6” - 833.3 x 5 = 4167 tofali
Juu avarage kozi 8 za tofali za 5” - 833.3 x 8 = 6666 tofali.

Jumla tofali za 6”ni 4167 na za 5” ni 6666, hii ni rough estimate, ila fundi anaweza kukupa kilicho bora zaidi kutokana na nature ya eneo lako.
Kama nguzo atatumia tofali,aongeze idadi.

Na afanye hima siasa zimehamia kwenye cement budget hii.
 
Back
Top Bottom