Sol de Mayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 6,515
- 6,230
Kiongozi naomba tuhifadhi maneno mimi natabir agentina..belgium..france..nigeria kati ya izo kuna mmoja apo atamuagisha uyo mtu wako
Team Brazil hapa.
Mwambie ccn walisema Hilary Clinton angeshinda USA presidentialAcha nicheke tu, Kwahiyo hiyo documentary ndio itakayoingia uwanjani?
Nasikia Tanzania Itashiriki
Hao woote wazembe kabisaKiongozi naomba tuhifadhi maneno mimi natabir agentina..belgium..france..nigeria kati ya izo kuna mmoja apo atamuagisha uyo mtu wako
Kwani majina ndo yanayocheza mkuu?? Ni mara ngapi Argentina imekua na hao watu ktk mashindano mbalimbali na wameshindwa kufua dafu, au icho kikosi ndo mara ya kwanza kuitwa??Mkuu uzi wako mtamu sana. Kwa MANSHAFT Sipingani na wewe,,,,,lakinii hilo kombe linawahusu zaidi ARGENTAIN.kikosi chao nakipaasilimia 90
Hii Squad ni very dangerous,,,kocha awapange vizuri,,,kuna kipindi niliwaambia humu__Argentina bila kushiriki urusi pasingenoga.
First eleven/sub
KING MESSI
LITTLE MAGICIAN DYBALA
DI MARIA
AGUERO
LCARDI
HIGUAIN
BENEDDETO
JONATHAN MAIDANA/BLACK
NICOLAS OTAMENDI
MARCOS ROJO
MASCHERANO
NICOLAS GAITAN
AUGUSTO FENANDEZ
EMANUEL MAMMANA
ROBERTO PEREIRA
MARIANO ANDUJA
FERNANDO GAGO
JAVIER PASTORE
KRANEVITTER
EMANUEL MAS
JOSE SOSA
MUSSACHIO
LUCAS ALARIO
FUNES MORI
ANGEL CORREA
ERICK LAMELA
GABRIEL MERCADO
FEDERICO FAZIO
EVER BANEGA sina uhakika kama ataitwa kikosini huyu fundi
LUCAS BIGLIA,, N.K
Poleee zako, wanaume wa shoka washafuzu kombe LA dunia.Mim Ni Mmoja Kati Ya Wanaume Wa Shoka
Kwani majina ndo yanayocheza mkuu?? Ni mara ngapi Argentina imekua na hao watu ktk mashindano mbalimbali na wameshindwa kufua dafu, au icho kikosi ndo mara ya kwanza kuitwa??
Angalia Italy na watu walionao, lkn kapigwa na nani na wachezaji wa aina gani??
Sometimes soka ni kama draft tu Mkuu.
Nafasi nawapa Ujerumani na Argentina.
Ufaransa licha ya kuwa na kikosi kizuri kinachoundwa na vijana, siwapi nafasi kubwa sana ya kushinda taji.
Only 90 minutes talks in the pitch mkuu, tuombe uzima tu ili tuwe miongoni mwa wachache watakaoyaangalia mashindano aya mkuuNikweli kamanda wangu, timu ina wachezaji wazuri mno,,,tatizo lipo kwa kocha na uongozi/AFA vile vile.
Only 90 minutes talks in the pitch mkuu, tuombe uzima tu ili tuwe miongoni mwa wachache watakaoyaangalia mashindano aya mkuu
Angalia wasije kuchapwa tena 7:0 waanze kulia tena [emoji23] [emoji23] [emoji23]Team Brazil hapa.
Hii timu ishapigwa 4 kavu na mjeruman alafu kwenye final ya WC wakapigwa tena!! This time messi atastaafu tena kwa kupigwa maana timu ikishindwa anatabia ya kususa kama mwanamkeMkuu uzi wako mtamu sana. Kwa MANSHAFT Sipingani na wewe,,,,,lakinii hilo kombe linawahusu zaidi ARGENTAIN.kikosi chao nakipaasilimia 90
Hii Squad ni very dangerous,,,kocha awapange vizuri,,,kuna kipindi niliwaambia humu__Argentina bila kushiriki urusi pasingenoga.
First eleven/sub
KING MESSI
LITTLE MAGICIAN DYBALA
DI MARIA
AGUERO
LCARDI
HIGUAIN
BENEDDETO
JONATHAN MAIDANA/BLACK
NICOLAS OTAMENDI
MARCOS ROJO
MASCHERANO
NICOLAS GAITAN
AUGUSTO FENANDEZ
EMANUEL MAMMANA
ROBERTO PEREIRA
MARIANO ANDUJA
FERNANDO GAGO
JAVIER PASTORE
KRANEVITTER
EMANUEL MAS
JOSE SOSA
MUSSACHIO
LUCAS ALARIO
FUNES MORI
ANGEL CORREA
ERICK LAMELA
GABRIEL MERCADO
FEDERICO FAZIO
EVER BANEGA sina uhakika kama ataitwa kikosini huyu fundi
LUCAS BIGLIA,, N.K