Ujerumani: Je wajua, Magari hupita pembeni ya barabara kunapokuwa na foleni ili kuacha nafasi ya magari ya dharura?

Nyendo

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2017
Posts
1,336
Reaction score
4,731
Kunapokuwa na foleni nchini Ujerumani, madereva hulazimika kisheria kupita pembeni ya barabara ili kuacha nafasi ya magari ya dharura kama magari ya wagonjwa na zimamoto.

Je unadhani ni muhimu kwa nchi nyingine kufuata utaratibu huu?
 
Na hizi barabara zetu kama kichochoro utatanuaje uache nafasi ya ambulance. Huo ukingo uanaongelea kuna wamachinga wamepanga nyanya zao na wanajiona wapo sahihi kabisa. Bila kusahau wazee wa haraka daladala wanaojiona daima wana haki ya kutanua.
Hujakaa sawa unakutana na gari la jeshi au FFU wakiona foleni wanatanua upande sio wao.

Kabla ya kutoa hiyo elimu, watengeneze barabara kwanza.
 
Tukomae tu kupunguza ama kutokomeza foleni na si kujaribu hilo, miundombinu hairuhusu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…