Na hizi barabara zetu kama kichochoro utatanuaje uache nafasi ya ambulance. Huo ukingo uanaongelea kuna wamachinga wamepanga nyanya zao na wanajiona wapo sahihi kabisa. Bila kusahau wazee wa haraka daladala wanaojiona daima wana haki ya kutanua.
Hujakaa sawa unakutana na gari la jeshi au FFU wakiona foleni wanatanua upande sio wao.
Kabla ya kutoa hiyo elimu, watengeneze barabara kwanza.