#COVID19 Ujerumani kupiga marufuku wasiochanja kununua bidhaa

Ndugu zangu msiache dawa zetu za mapilipili, vitunguu swaumu, tangawizi n.k
 
... ha ha ha! Una sifa zote za kuitwa "mshenzi".
 
Mm sichomi ng'oo
 
Wenzetu wanapiga mapesa kwa kufanya tafiti za kisayansi lakini sisi tumewekeza kwenye kuhakikisha Mbowe anafungwa. Too sad!
 
Pole sana ndugu.
 

Bibi wa miaka mia?kaenda ulaya ?anaweza tembea?
 
Mwanangu ww huendi mbinguni.

[emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…