Pre GE2025 Ujerumani: Nchi ya watu Milioni 83 inasemekana wamemaliza kuhesabu kura ndani ya saa 8 baada ya kukamilisha kwa zoezi, Tanzania tuna la kujifunza

Pre GE2025 Ujerumani: Nchi ya watu Milioni 83 inasemekana wamemaliza kuhesabu kura ndani ya saa 8 baada ya kukamilisha kwa zoezi, Tanzania tuna la kujifunza

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Kinyungu

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2008
Posts
19,484
Reaction score
38,416
Sisi kama Watanzania na tume yetu Huru ya uchaguzi kuna jambo la kujifunza.

Ujerumani ni nchi ya watu mil 83, wamefanya uchaguzi mkuu jana uliokuwa na ushindani mkubwa sana na ukifuatiliwa ulimwenguni kote.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Inasemekana masaa nane baada ya uchaguzi, wameshamaliza zoezi la kuhesabu kura na matokeo ya awali yametoka, matokeo ambayo huwa hayatofautiani pakubwa na matokeo rasmi. Tume yetu Huru ya Uchaguzi iige mfano huu, matokeo yajulikane mapema na siyo hadi kutokee mivutano ndipo yatangazwe hasa yale ya wabunge na madiwani.

Screenshot 2025-02-24 094753.png


===

Ufuatiliaji wa JamiiCheck
JamiiCheck imefuatilia madai haya na kubaini kuwa ni ya kweli. Nchini Ujerumani vituo vya kupigia kura hufunguliwa saa 2 asubuhi na kufungwa saa 12 jioni na kisha zoezi la kuhesabu kura huanza mara moja katika vituo husika mara baada ya vituo kufungwa.

Matokeo ya awali ya uchaguzi wa shirikisho, Ujerumani kwa mwaka 2025 yalitangazwa usiku wa Februari 24, 2025 saa chache baada ya kufungwa kwa vituo vya kuhesabia kura jioni ya tarehe 23, Februari 2025.

Kwa mujibu wa Afisa msimamizi wa uchaguzi wa shirikisho, Ujerumani walitoa taarifa kwa vyombo vya habari usiku kwa mara ya kwanza saa 7:15 usiku. Kisha wakatoa tena maboresho saa 10:10 usiku (alfajiri). Matokeo yalikusanywa kwa mawasiliano ya njia ya simu na njia nyingine za kielektroniki kutoka katika kila kituo cha kupigia kura.

Taarifa ya Afisa msimamizi wa uchaguzi wa shirikisho inaeleza kuwa matokeo rasmi yatatangazwa baadae na tume ya uchaguzi ya shirikisho Machi 14, 2025 katika kikao cha wazi cha bunge (Bundestag) huko Berlin.
 
Mercedes-Benz hao wapo mbali sana hao wenzetu waligundua Benz inayotumia matairi matatu mwaka 1885-1886 sisi vitu vinavyotumia matairi matatu tunatumia 2025 vimeboreshwa na kuwa Bajaji sasa kaangalie Mercedes ya 2025.
 
Sababu kuu ni moja tu, kule wana siasa sio njaa hawatafuti madaraka kutawala na kujipatia kipato ila wanaamini katika uongozi bora na kuekeleza kile wanachokiamini kuwa kitaisaidia Germany kusonga mbele. Huku ni siasa ni mtaji wa kuingiza kipato.
 
Sisi kama Watanzania na tume yetu Huru ya uchaguzi kuna jambo la kujifunza.

Ujerumani ni nchi ya watu mil 83, wamefanya uchaguzi mkuu jana uliokuwa na ushindani mkubwa sana na ukifuatiliwa ulimwenguni kote.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Inasemekana masaa nane baada ya uchaguzi, wameshamaliza zoezi la kuhesabu kura na matokeo ya awali yametoka, matokeo ambayo huwa hayatofautiani pakubwa na matokeo rasmi. Tume yetu Huru ya Uchaguzi iige mfano huu, matokeo yajulikane mapema na siyo hadi kutokee mivutano ndipo yatangazwe hasa yale ya wabunge na madiwani.


View: https://x.com/visegrad24/status/1893836848947937395?t=B5aNLlv3H1FXgIG6cxFJ9Q&s=19

chaguzi za Tanzania huvurugwa na kucheleweshwa zaidi na vibaka na matapeli wa siasa kwamfano wa fujo za wale jamaa wa no reform no elections n.k,

Lakini matokeo ndani ya masaa10-12 inawezekana kabisa 🐒
 
Sisi kama Watanzania na tume yetu Huru ya uchaguzi kuna jambo la kujifunza.

Ujerumani ni nchi ya watu mil 83, wamefanya uchaguzi mkuu jana uliokuwa na ushindani mkubwa sana na ukifuatiliwa ulimwenguni kote.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Inasemekana masaa nane baada ya uchaguzi, wameshamaliza zoezi la kuhesabu kura na matokeo ya awali yametoka, matokeo ambayo huwa hayatofautiani pakubwa na matokeo rasmi. Tume yetu Huru ya Uchaguzi iige mfano huu, matokeo yajulikane mapema na siyo hadi kutokee mivutano ndipo yatangazwe hasa yale ya wabunge na madiwani.


View: https://x.com/visegrad24/status/1893836848947937395?t=B5aNLlv3H1FXgIG6cxFJ9Q&s=19

Sisi bado hatujafikia hatua ya kuitwa binadamu, tuna force tu
 
Sisi kama Watanzania na tume yetu Huru ya uchaguzi kuna jambo la kujifunza.

Ujerumani ni nchi ya watu mil 83, wamefanya uchaguzi mkuu jana uliokuwa na ushindani mkubwa sana na ukifuatiliwa ulimwenguni kote.

Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Inasemekana masaa nane baada ya uchaguzi, wameshamaliza zoezi la kuhesabu kura na matokeo ya awali yametoka, matokeo ambayo huwa hayatofautiani pakubwa na matokeo rasmi. Tume yetu Huru ya Uchaguzi iige mfano huu, matokeo yajulikane mapema na siyo hadi kutokee mivutano ndipo yatangazwe hasa yale ya wabunge na madiwani.


View: https://x.com/visegrad24/status/1893836848947937395?t=B5aNLlv3H1FXgIG6cxFJ9Q&s=19

Kwetu Jimbo la Kinondoni siku tatu. Mjini barabara kila kona.
Mambo ya wizi tu
 
Matokeo yote yakiwa yanatangaziwa kwenye kituo cha kupiga kura inawezekana kupata matokeo kwa haraka kama Ujerumani, ikiwa ni mambo ya kuhamisha ma box ya kura kutokea sehemu moja kwenda nyingine hapo lazima mambo yote yaende harijojo.
 
Noma sana hawa jamaa, inawezekana kwetu pia tukiamua.
Mkuu kwetu haiwezekani hadi siku njaa ikiisha, labda miaka milioni moja ijayo!! Wataokuja kuamua kura zihesabiwe kwa 24 hours labda ni hivi vitoto vya 2000 visivyo na heshima wala kujali chochote sio yale mazee yaliyochapwa fimbo na mkoloni!! Yale yakifa yote na watoto wao na majina yao kufutika ndo hilo litakuja!!

kwetu tuna utamaduni wa kuomba Mungu atusamehe baada ya kuiba kura!
 
Matokeo yote yakiwa yanatangaziwa kwenye kituo cha kupiga kura inawezekana kupata matoke kwa haraka kama Ujerumani, ikiwa ni mambo ya kuhamisha ma box ya kura kutokea sehemu moja kwenda nyingine hapo lazima mambo yote yaende harijojo.
🤣🤣🤣
 
Suala si watu, suala ni miundombinu inayotumika kufanya upigaji kura na uhesabuji kura hizo!!! Tanzania na Ujerumani tuna tofauti kubwa sana ya miundo mbinu ya kupiga na kuhesabu kura!!!

Baadhi huko kura ni furusa ya kupiga hela kwa namna yoyote kule ni furusa ya kuonyesha ni namna gani nchi iendeshwe!!!
 
Mkuu kwetu haiwezekani hadi siku njaa ikiisha, labda miaka milioni ijayo!! Wataokuja kuamua kura zihesabiwe kwa 24 hours labda ni hivi vitoto vya 2000 visivyo na heshima wala kujali chochote sio yale mazee yaliyochapwa fimbo na mkoloni!! Yale yakifa yote na watoto wao na majina yao kufutika ndo hilo litakuja!!

kwetu tuna utamaduni wa kuomba Mungu atusamehe baada ya kuiba kura!
Sio jambo gumu sana kama CCM watakubali matokeo yote yatangaziwe katika vituo vya kupigia kura kazi ya tume iwe kujumlisha tu, tatizo huwa linaanza kura zinapigwa sehemu moja halafu box zinabebwa ili kura kwenda kuhesabiwa sehemu nyingine.
 
Suala si watu, suala ni miundombinu inayotumika kufanya upigaji kura na uhesabuji kura hizo!!! Tanzania na Ujerumani tuna tofauti kubwa sana ya miundo mbinu ya kupiga na kuhesabu kura!!!

Baadhi huko kura ni furusa ya kupiga hela kwa namna yoyote kule ni furusa ya kuonyesha ni namna gani nchi iendeshwe!!!
Hizi za dijitali ambapo simu ziko kila mahali unahitaji miondombinu gani kutoa matoke ya uchaguzi ndani ya siku moja?? Mkiacha kubeba box za kura kwenda kuhesabia mafichoni badala yake kura zote zihesabiwe kituoni inawezekana kutangaza matokeo kwa haraka kama Ujerumani au Brazil.
 
Back
Top Bottom