Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Mawazo yako yamekaa ki England tupu yani kupita makundi ishu leo hii unawaza hao vuvuzela wafike finalJapo naipenda England. lakini Germany wako vizuri sana..
Natamani kuona Fainali ya England vs Germany.....
hapo ndo wajerumani watajua England ni nani
Subiri utaona maajabu....England anafika final...Mawazo yako yamekaa ki England tupu yani kupita makundi ishu leo hii unawaza hao vuvuzela wafike final
Duu nilivyoona tu jicho la tatu nikajua ni mambo yangu yaleHii timu imezoea ushindi , haina wasiwasi na wala haitegemei uwezo wa mchezaji mmoja mmoja , wanacheza Total football , ukishangaa watakuadhiri kwa kiwango ambacho hutasahau !
Hawana presha ya vyombo vya habari maana hawajadiliwi sana , ni kama wamesahaulika vile .
Nawatabiria kufika mbali .
Yapi tena yakhe? Maana mimi ni mgeni upande huu mkuu.Duu nilivyoona tu jicho la tatu nikajua ni mambo yangu yale
England wakifika fainali na kuahidi kukupa laki 1 na JF nzima ni mashahidi.Japo naipenda England. lakini Germany wako vizuri sana..
Natamani kuona Fainali ya England vs Germany.....
hapo ndo wajerumani watajua England ni nani
England wakifika fainali nakuahidi kukupa laki 1 na jf nzima ni mashahidi .
Yaani unaota mchana bila kusinzia, England kwenye makundi tu anarudi home, mkoloni akiwahi kutoka labda semifinalJapo naipenda England. lakini Germany wako vizuri sana..
Natamani kuona Fainali ya England vs Germany.....
hapo ndo wajerumani watajua England ni nani
Nimeona video 1 ikisambaa kwenye mitandao ya kijamii, kocha wa germany akiwa uwanja kwenye mechi iliyochezwa jana, akijinusa nusa vidole baada ya kuutoa mkono kwenye korodani,walio wengi wanaihusisha hiyo clip na yale mamboDuu nilivyoona tu jicho la tatu nikajua ni mambo yangu yale
Japo naipenda England. lakini Germany wako vizuri sana..
Natamani kuona Fainali ya England vs Germany.....
hapo ndo wajerumani watajua England ni nani
Hao ndiyo mabingwaHii timu imezoea ushindi , haina wasiwasi na wala haitegemei uwezo wa mchezaji mmoja mmoja , wanacheza Total football , ukishangaa watakuadhiri kwa kiwango ambacho hutasahau !
Hawana presha ya vyombo vya habari maana hawajadiliwi sana , ni kama wamesahaulika vile .
Nawatabiria kufika mbali .
Final watakutana SPAIN <> BELGIUM...Spain anabeba ndoo
Ataendelea kuigharimu timu kabla hajafika fainali.Subiri utaona maajabu....England anafika final...
sema Jana koch ndo aliigharim timu kwa sub mbovu...
Hio final haipo kabisaa kwa England hii!! Utasubiri sanaaaaJapo naipenda England. lakini Germany wako vizuri sana..
Natamani kuona Fainali ya England vs Germany.....
hapo ndo wajerumani watajua England ni nani
Na kombe tutabeba,Hii timu imezoea ushindi , haina wasiwasi na wala haitegemei uwezo wa mchezaji mmoja mmoja , wanacheza Total football , ukishangaa watakuadhiri kwa kiwango ambacho hutasahau !
Hawana presha ya vyombo vya habari maana hawajadiliwi sana , ni kama wamesahaulika vile .
Nawatabiria kufika mbali .
Hivi Belgium ina kitu gani anbacho kinawafanya wadau waamini itafika mbali ?...Begium watoto hawana experience!
Nadhani wadau mnaendelea kujionea yanayotokea .Hii timu imezoea ushindi , haina wasiwasi na wala haitegemei uwezo wa mchezaji mmoja mmoja , wanacheza Total football , ukishangaa watakuadhiri kwa kiwango ambacho hutasahau !
Hawana presha ya vyombo vya habari maana hawajadiliwi sana , ni kama wamesahaulika vile .
Nawatabiria kufika mbali .