Ujinga mtupu
JF-Expert Member
- Aug 16, 2017
- 887
- 2,010
Habari wakuu mko poa,
Iko hivi katika maisha yako kuna ujinga ulishawahi fanya matokeo yake yalikuwa faida au hasara.
Kwa upande wangu;
1.Niliwahi kufanya ujinga wa kufanya mapenzi bila kumtongoza.
2.Maisha yangu yote nilikuwa sisomagi ila nafaulu tu hasa kwa chabo nilitoka na GPA ya 4.5.
3.Kazini sifanyagi kazi kwa kusifiwa ila mimi ndo nakula mshahara mkubwa.
AISEE NI MJINGA MTUPU.
Iko hivi katika maisha yako kuna ujinga ulishawahi fanya matokeo yake yalikuwa faida au hasara.
Kwa upande wangu;
1.Niliwahi kufanya ujinga wa kufanya mapenzi bila kumtongoza.
2.Maisha yangu yote nilikuwa sisomagi ila nafaulu tu hasa kwa chabo nilitoka na GPA ya 4.5.
3.Kazini sifanyagi kazi kwa kusifiwa ila mimi ndo nakula mshahara mkubwa.
AISEE NI MJINGA MTUPU.