chambimagaka
JF-Expert Member
- Nov 17, 2017
- 288
- 338
Ujinga ni vibarua milioni 1 wanaochanga tsh 500 kila siku,sawa na 15,000,000,000/=(tsh Bilioni 15) kwa mwezi,na kumpa bilionea,ambaye baadae huwashukuru kwa kumchagua kibarua mmoja na kumpa Milioni 10.
Nafikiri kubeti kunaweza kuelezea hili kwa urahisi zaidi.
Nafikiri kubeti kunaweza kuelezea hili kwa urahisi zaidi.