chambimagaka
JF-Expert Member
- Nov 17, 2017
- 288
- 338
inachoooomaa kama nini...........Ujinga ni vibarua milioni 1 wanaochanga tsh 500 kila siku,sawa na 15,000,000,000/=(tsh Bilioni 15) kwa mwezi,na kumpa bilionea,ambaye baadae huwashukuru kwa kumchagua kibarua mmoja na kumpa Milioni 10.
Nafikiri kubeti kunaweza kuelezea hili kwa urahisi zaidi.
hahahahahaah UJINGA ni ile hali ya kuijua na kuiona ukweli lakini bado unakubaliana na uongohuu ni ukweli mchungu sawa na kijana kuyakubali majibu ya HIV+