Usedcountrynewpipo
JF-Expert Member
- Aug 1, 2012
- 3,636
- 2,728
Nambie wamefungua wapi mpya nihame kwetu pazuri hii ndo tabata ya wala bata kama ulikuwa hujui unazoeleka baa moja km unefunga nayo ndoa wakati pesa yako lazima uwe huru
Hiyo biashara waachie Warombo mkuu, yule jamaa Mfojo kule Segerea, nasikia alianza nyodo wateja wamepukutika wote.Wateja wa baa za Tabata ni kama flying gees! Ukiona leo wamejaa kwenye baa flani, kesho ikafunguliwa baa mpya kali, wanahama woote na kujaa huko... Ikifunguliwa tena nyingine wanahama huko na kujaa kule kupya... Yani usije ukafungua baa pande hizo na kutegemea kuwa na customer base ya uhakika.
Du!sasa mleta mada ulikuwa hulijui hilo...sio tabata tu kote nchi nzima watu wanakuja kucheki una kipi kpya na wanakuja kucheki mizigo ..ukitaka kumantain baa yako badilisha wahudumu mara kwa mara lete totoz mpya utaona kama utakaukiwa na wateja ...wanywaji wakishapitia karb wahudumu wote wanahama..ndio mana unaweza kuta ka grosary hakakosi wateja angalia anaehudumia yukoje utajua kwanini wateja wanajazana hapo......au fungua bar halafu lete mizigo ya ovyo utaona watu wamekuja siku ya kwanza halafu huwaoni tena ... biashara ya baa ina changamoto nyingi sana
Wateja wa baa za Tabata ni kama flying gees! Ukiona leo wamejaa kwenye baa flani, kesho ikafunguliwa baa mpya kali, wanahama woote na kujaa huko... Ikifunguliwa tena nyingine wanahama huko na kujaa kule kupya... Yani usije ukafungua baa pande hizo na kutegemea kuwa na customer base ya uhakika.
Watu wengi wanaokomalia bar wanajaribu kutengeneza ushirikiano wa kukopa kwa kivuli cha mteja mkubwa wa bar
mkuu hiyo sio Tabata tu, changamoto ya biashara ya baa ndio hiyo, na tabia za wateja wa bia karibu tz nzima ni sawa tu. Wengi wao wanakuja kuangalia MIZIGO, msemo wa shehe kipozeo, wakishailamba yote wanahamia kwingine tena kwenye wageni. hivyo ukiwa utanataka kuingia kwenye biashara hii lazima hili ulijue mapema, japo kuna wengine huwa wana weza kume ntain hiyo status ila ni wachache sana.
Koppa Kabana!