Ujio clouds media Tanzania Mombasa county au vipi?

Thank you for accepting a resounding defeat ,see you next time.
Fudge you! I always retreat once it becomes evident that am arguing with a mad man. For the simple reason that I don't want to appear mad myself. You can go copulate with a transformer in celebration, you frigging moron!
 
Kwa Joho wameenda kujenga mazingira ya kujitambulisha na kufahamika, kifupi ni p r then wakiwa tayari watafuata taratibu za usajili. Acha ujubilee !
 
Mkenya yupi anaweza kuharibu mda wake eti anawatch TV za Tanzania? hao wana vitu za kishenzi ,,,,,,,kwanza utaoneshwa tu waganga wakiwa kule sumbawanga hamna lingine ,Wakenya huwatch news na program za maana.
.....pamoja na maandamano !
 
Kwa Joho wameenda kujenga mazingira ya kujitambulisha na kufahamika, kifupi ni p r then wakiwa tayari watafuata taratibu za usajili. Acha ujubilee !
Hiyo si tabia ya wanajubilee, asikudaganye mtu. Hio tabia ya kujipiga vifua na kujiita sijui Surgeon n.k wakati mtu mwenyewe anafanya kazi kwenye kichinjio.... fanya kautafiti kidogo utajua ni kawaida ya kina nani.
 
Huyu mwache tu akae hapo, amechukulia kale ka msemo wa wakenya ka mwaka 47 kuwa watz hawawezi kitu.
Wao ndo wamekuwa wapika majungu kwenye kazi sasa hivi baada ya kuona wabongo wanawafunika !
 
Clouds, wazee wa shangwe na burudani ! Subiri shughuli yao utaiyona tu
 
Ipo!! me huona tu ikitangazwa lakini sijawahi chukua mda wangu kuiangalia ,maana Mimi kuna vitu huwa nafwatilia sana ,and that is news ,my favourite station is KTN 2 for news and citizen for other programs, ntv napitia updates sasa sina mda wa azam.
Duniani kuna mambo mengine baada ya taarifa za habari. Hata watengeneza mabomu ya nyuklia hupata wakati wa kufurahi na kujifunza mambo mengine.
 
Mambo ya Pwani hayo, m'bara utayaelewa wapi !
Atakuwa na mambo yake huyo. Mimi hapo kwenye pua lililotobolewa ndo utamu unakolea kabisa. Hawa ni wale wa bara kazi wanayoijua ni kula nazi kavu kavu na kufika beach na sweta! Teh teh. 😀
 
Atakuwa na mambo yake huyo. Mimi hapo kwenye pua lililotobolewa ndo utamu unakolea kabisa. Hawa ni wale wa bara kazi wanayoijua ni kula nazi kavu kavu na kufika beach na sweta! Teh teh. 😀
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Fudge you! I always retreat once it becomes evident that am arguing with a mad man. For the simple reason that I don't want to appear mad myself. You can go copulate with a transformer in celebration, you frigging moron!

Masikini pumba,mtu asiye akili,sifuatane naye, nikikupa airtime yangu nitakua nakupandisha cheo ila endelea kuropokwa utuoneshe uji uliojaa kichwa chako.

Hana nadhari ni ng'ombe.
 
Fudge you! I always retreat once it becomes evident that am arguing with a mad man. For the simple reason that I don't want to appear mad myself. You can go copulate with a transformer in celebration, you frigging moron!

Masikini pumba,mtu asiye akili,sifuatane naye, nikikupa airtime yangu nitakua nakupandisha cheo ila endelea kuropokwa utuoneshe uji uliojaa kichwa chako.

Hana nadhari ni ng'ombe.
 
Duniani kuna mambo mengine baada ya taarifa za habari. Hata watengeneza mabomu ya nyuklia hupata wakati wa kufurahi na kujifunza mambo mengine.

Sikatai hilo,, kuna mwengine akaandika hapa eti wataleta kiswahili cha bonga sijui na muziki wao nilicheka tu,maana haelewi kuwa Kenya kuna sheria kuwa 60% of what you televise must be local contents , music za Tanzania zipo ,but maybe in clubs ,and not on TVs , what your friends don't understand no kuwa hata hao cloud TV wataweka program depending on the consumers taste .
 
Just wait for new taste from Tz !
Hata baba anajua.......blah blah blah sitaki kusiki !
 
Atakuwa na mambo yake huyo. Mimi hapo kwenye pua lililotobolewa ndo utamu unakolea kabisa. Hawa ni wale wa bara kazi wanayoijua ni kula nazi kavu kavu na kufika beach na sweta! Teh teh. 😀
Pingli....nyweeeh ! We jamaa wewe !
 
Just wait for new taste from Tz !
Hata baba anajua.......blah blah blah sitaki kusiki !

Huyo ni babako ndio anajua,, media ya Tanzania haiezi kuleta program za Tanzania hapa, Hata kuna media za Kenya kule Uganda na Rwanda na haiezi peleka program za Kenya huko maana hazijaenda pale kufanya PR but kufanya pesa na lazima wangalie consumers taste.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…