Ujio clouds media Tanzania Mombasa county au vipi?

Hiyo si tabia ya wanajubilee, asikudaganye mtu. Hio tabia ya kujipiga vifua na kujiita sijui Surgeon n.k wakati mtu mwenyewe anafanya kazi kwenye kichinjio.... fanya kautafiti kidogo utajua ni kawaida ya kina nani.

Am not here to prejudice any community, but even those luos that you attack I may differ with them ideologically but they are very good people ,one head of a luo is better than 20 heads of Tanzanian.
 
Am not here to prejudice any community, but even those luos that you attack I may differ with them ideologically but they are very good people ,one head of a luo is better than 20 heads of Tanzanian.
Am in no way tribal, I hate that stuff haven't attacked anyone. Believe it or not am Kenyan!
 
Heeeh ! Jamaa imekuuma sana ! Ndio maana sasa hivi mkizuia kitu chetu hata kimoja kuingia Kenya basi sisi tunazuia vyenu vyote, kwa sababu ya attitude yenu ya ubinafsi na choyo.
 
Kwani mbongo gani anayeangalia TV za manyang'au tugundue nn labda au mnataka tuone sura za mazinjanthropus
[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4]
Kwa nini na nyinyi mnataka kutulazimisha kuona sura zenu za magendele?
 
Kwenye hii thread kuna mtu siyo mzima.. ukipitia anacho andika unapata maswali mengi!!! Ni vizuri akapuuzwa. Jiwe gizani
 
Heeeh ! Jamaa imekuuma sana ! Ndio maana sasa hivi mkizuia kitu chetu hata kimoja kuingia Kenya basi sisi tunazuia vyenu vyote, kwa sababu ya attitude yenu ya ubinafsi na choyo.


Hivi sisi nanyi wabinafsi ni nani? mna roho mbaya ,sisi huku twawakaribisha kila siku lakini kwenu mkenya mwamuona kama adui wakati sisi twawaona kama kaka zetu wadogo.

Anipendaye nami nampenda:anikataaye napunguwa simanzi.
 
Hivi sisi nanyi wabinafsi ni nani? mna roho mbaya ,sisi huku twawakaribisha kila siku lakini kwenu mkenya mwamuona kama adui wakati sisi twawaona kama kaka zetu wadogo.

Anipendaye nami nampenda:anikataaye napunguwa simanzi.
Mimi mpaka sasa hapa nilipo nafanya kazi kampuni ya wakenya over 20 yrs In 3 diff company. Nawaelewa vizuri sana.
 
A tribalist trying to graduate into a nationalist..

Majungu ndio huboresha ufukara wa Tanzania kwa hilo sitakukemea,ila wapika majungu kama ninyi ni watu wa kusamehe maana mlishaadhibiwa na manani ndo maana mwatumia muda wenu wote kuyatafakari ya kwangu baada la kuyashugulikia ya kwenu na kuboresha uchumi we nu.
 
Mimi mpaka sasa hapa nilipo nafanya kazi kampuni ya wakenya over 20 yrs In 3 diff company. Nawaelewa vizuri sana.


Sasa wawaelewa ni wanafki? wangekua wanafki jinsi mnavosema mbona hujatimliwa akajiriwa mkenya?.
 
Sasa wawaelewa ni wanafki? wangekua wanafki jinsi mnavosema mbona hujatimliwa akajiriwa mkenya?.


Most of these people wana roho mbaya sana, yaani ukiwa Nairobi wakikusikia unaongea kiswahili accent ya Bongo wanakutreat vibaya mno.. wakat Bongo huwa tunawachukulia kama ndugu zetu, Ni watu wa kuwa nao makini sana wameshatusaliti katika mambo mengi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…