Ujio mpya wa Davido ni shidaaa!!

Usisahau kua tecno ndo anamwandalia kila kitu davido kwa sasa davido kazi yake kuimba tu,kwanzia ile IF hadi hii FALL kaandaliwa masairi yote kifupi mtunzi tecno
Acha uongo mkuu tecno ni producer tu kama majan kwa ngosha
 
money follow u, banana follow u, paparazzi follow u......jamaa ni fundi
 
Ule wimbo ni mkali kinoma sema hapa wanafiki ni wengi sana mkuu
Unafiki sasa umevuka viwango yaani ukikubali kitu cha nje ya nchi unaitwa si mzalendo, wengi wanamkubali ila team zinawaumiza wanajipofusha, wimbo mkali haswa.
 
Hizo ngoma zimetengenezwa kwenye studio ya Tecno...... Mtoe tecno hapo
 
Tecno ndo anafanya mpango mzima wa kumtngnezea beats n kumsaidia kuandka...so techno ndo mastermind usimunderestmte
 
30billion for your account......versace na Gucci for your bodi....
 
Nimetoka kuuangalia huu wimbo sasa hivi, kweli jamaa ni shida, mashairi beat yaani mwake kabisa bonge la ngoma..halafu mpaka ujue ni davido baadae sana..sio ile beat ikipigwa tu unajua fulani wimbo mkali sana.
Amerudi vizuri sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…