Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Qchief yupo vizuri sana ila tatizo NYUNGA.Habari.
Leo asubuhi na mapema nimekutana na wimbo nahisi ni mpya wa nguli wa mziki wa zamani Q-Chief au unaweza muita Q-Chilla kwenye kipindi cha 360 kupitia clouds.
Naona ni ujio mpya maana kwa zamani alikuwa na vibao vyake vingi zamani vilitamba sana.
Baadhi ya mashairi ya wimbo huu ni
I call him designer, I call him creator
You are the greatest the greatest of all
I call him designer, I call him creator
You are the greatest the greatest of all
Sijajua jina la huu wimbo ila nimeona ni kazi nzuri na kama amerudi rasmi basi nampa kongole kwa hilo.
Nawasilisha.
Cc: Kichwa Kichafu.
Upo sahihi mkuu. Vijana wa sahivi wanaoshinda YouTube, wanaoingia show, wanaoshinda Instagram umri wao 17-25 wengi wakati Chilla ana hit hawakua wanamjua.Hamna kitu hapo , ataishia kusikilizwa na watu wa age yake 40-60 , watu ambao hata kwenye shoo hawaji hata YouTube hawashindi , video itaishia kuwa na view 100k, Kuimba kama upo msibani sa hv hamna , hapo tunaassume kama kwaya tuu, wanazengo tunataka ugonge beat nzito weka mashairi konki , changamka , wala hakuna haja ya kuweka matusi , kinachobaki ni promo Tu watu tunakuelewa chap....