Ujio mpya wa stereo(singasinga) ndani ya WCB

Dhaaaa!! Stereo kurud enz,zake cjui kama ataweza
Jamaa alikua vzr sana
 
African Son

Kama WCB wamemchukua basi ni vizuri maana Stereo ni mtunzi mzuri kwa wasanii wenzake kwahyo atawasaidia kwenye utunzi wa nyimbo
 
Yupo WCB aseeh. Na hiyo ni track yake ya kwanza kafanya poa
Mbona juzi wakati wanahojiwa na mavoko wote walisema jamaa hayuko WCB ila.alienda pale kumshuru diamond ndio wkamwambia studio hiyo hapo chagua kati ya harmo ray na mavoko ufanye nyimbo ndio wakaanda hiko kitu na mavoko but hajajiunga na wcb labda baadae baada ya kuona hii nyimbo imehit
 
kwamba mondy mara nyingi amenukuliwa akisema kuwa stereo anajua so ikabidi aende pale kumshukuru kwa kukubali kazi zake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…