Ujio wa Chama Kipya -Patriotic Front Alliance-(PFA) na 'Kujitenga' Kwake..

Steve Dii

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2007
Posts
6,402
Reaction score
1,273
Naona wanasiasa wetu nchini wanazidi kujitayarisha na 2010...

Source link: Mwananchi.


SteveD.
 
haya sio matarisho ila ni kubomoa nguzo za ujenzi wa muungano mkubwa uliokuwa ukitegemewa. Nina hakika k za Zitto na Dr. Slaa zimetumika kama ni mbolea ya uchochezi wa utengano huo.
kwa hiyo kuundwa kwa chama hiki kipya kunatanguliwa na KUJITENGA kwa vyama hivi ktk muungano wao wa mawasiliano. Pengine yawezekana kucheleweshwa kwa muungano halisi na kuwepo kwa kitu kimoja wakati muda wa kujitangaza unazidi kuyoyoma hawa jamaa wameona kuwa hawawezi kushiriki ktk upuuzi wa siasa za kuvikana vilemba..
Jamani hivi lini hawa jamaa wa CUF, Chadema TLP na NCCR- Mageuzi tupate kuwafahamu viongozi mapema.
 
Hata mashuleni kwa wale waliosoma kwa kutumia makundi baada ya Lecture huwa yapo.

Mkiwa mnafanya discussion wakati mchango wako ni mdogo huwa linatokea kundi jingine lenye uwezo unaoshabiliana ndani ya kundi lenye uelewa unaolingana hili kuokoa jahazi kwa masilahi ya wahusika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…