Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umekwenda kwa sangoma ndiyo akakupa majibu hayo au umetumia sayansi ya Takwimu? Acheni ujinga na kuanzisha nyuzi za HOVYOWakuu ukweli usemwe hata kama ni mnazi wa club husika, Kwa usajili wa kocha Benchikha Simba naona ni hasara au kutumia pesa vibaya japo in anyway sihusiki kumlipa
Hakika hii ni hasara kubwa kabisa ngoja tuone
Unaandika huku unakata mauno kama paka chongo.Wakuu ukweli usemwe hata kama ni mnazi wa club husika, Kwa usajili wa kocha Benchikha Simba naona ni hasara au kutumia pesa vibaya japo in anyway sihusiki kumlipa
Hakika hii ni hasara kubwa kabisa ngoja tuone
Naunga mkono hoja. Utoto umezidi Sana humu. Hoja kama watoto wa chekechea?Hebu tuwe watu wazima jamani sio kila linalopita kichwani unalirusha humu...muda mwingine tumia akili uheshimike..
Ungefafanua hasara kwny maeneo yapi?