Ujio wa kocha mpya Simba,Atafanikiwa kwa wachezaji gani?

Kanali G

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2013
Posts
9,898
Reaction score
14,413
Nimekuwa nikiona maoni mbalimbali kwa mashabiki wa Simba juu ya uwezo wa kocha wao mpya kuwa juu. Ili kocha yoyote aweze kufanikiwa pamoja na uwezo wake wa mbinu na ufundishaji ni lazima awe na wachezaji wa maana, nikiangalia kwenye kikosi cha sasa cha Simba kina wachezaji wa kawaida sana sehemu zote. Sioni ni kwa vipi unaweza fanikiwa kwa beki yenye wachezaji wazee akina Kapombe, Wawa na Onyango, viungo tegemeo ni kina Lwanga na Sakho huku fowadi ikiwategemea Kibu na Boko. Ni suala la muda tu huyu kocha atatupiwa virago na kuharibu CV yake.
 
Acha wivu unenepe
 
Yaani jana umekesha ukifikiria kuandika m@vi haya!?
 
We UMBWA hakuna ulijualo hebu tuliza mkundou kwanza.
 
Ataletwa mwingine
 
Wachezaji wa maana ndo wachezaji gani?
 
AUcho, Bangala au walivyokuwa kina Chama na Mickson


Naona tokea Simba itangaze Kocha mpya Utopolo munashindana tu kufungua Threads mpya.

Anyway kwani Kuna msimu muliosifia Wachezaji wa Simba kuwa ni wazuri?

Hata hao kina Chama na Miqui munawasifu baada ya kuondoka Simba.

Huyo Bangala ana uzuri gani wa kumzidi Tonombe alivyocheza msimu uliopita?

Huyo ukitoa sifa za uongo anazopewa Oscar Oscar niambie kipi cha ziada alichokifanya mpaka sasa? Zaidi ya kumsifia hakuna Mshabiki wa Yanga mwenye ujasiri wa kuleta Stats za Aucho.

Aucho ni kama JORDAN HENDERSON wa Liverpool ni mchezaji anayecheza mpira muda mwingi lakini asiye na madhara kwa mpinzani. Prove me wrongn! I'm waiting.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…