Ujio wa Mchungaji Msigwa CCM umekosa mashamshamu

Ujio wa Mchungaji Msigwa CCM umekosa mashamshamu

Ngongo

Platinum Member
Joined
Sep 20, 2008
Posts
20,654
Reaction score
35,887
Heshima sana wanajamvi.

Mchg Msigwa kahamia CCM baada ya kushindwa nafasi ya Mwenyekiti wa Kanda na Mh Sugu.

Mchg Msigwa kaenda CCM baada ya kushindwa na kukubali kushindwa,lakini siku mbili baada ya kutoa pongezi kubwa kwa Mh Sugu alianza kubwabwaja na kutoa shutuma dhidi ya uongozi pasipo ushahidi wa maana.

Mchg Msigwa kaenda CCM kwakuwa kakisa uongozi,huyu ni aina ya binadamu anayeamini bila uongozi hakuna maisha.

Kupokelewa na uongozi wa juu wa CCM ni ishara kuwa CCM wamekata pumzi kwakuwa aina ya mtu wanayempokea kakataliwa ndani ya chama alichotoka.

Ngongo kwasasa Kyembe samaki.
 
Heshima sana wanajamvi.

Mchg Msigwa kahamia CCM baada ya kushindwa nafasi ya Mwenyekiti wa Kanda na Mh Sugu.

Mchg Msigwa kaenda CCM baada ya kushindwa na kukubali kushindwa,lakini siku mbili baada ya kutoa pongezi kubwa kwa Mh Sugu alianza kubwabwaja na kutoa shutuma dhidi ya uongozi pasipo ushahidi wa maana.

Mchg Msigwa kaenda CCM kwakuwa kakisa uongozi,huyu ni aina ya binadamu anayeamini bila uongozi hakuna maisha.

Kupokelewa na uongozi wa juu wa CCM ni ishara kuwa CCM wamekata pumzi kwakuwa aina ya mtu wanayempokea kakataliwa ndani ya chama alichotoka.

Ngongo kwasasa Kyembe samaki.
Wasalimie Kiembe Samaki hapo kwa Baruti Traders
 
Huyu hana impact hata akihama issue watu walishachoka na ccm. Atakuwa na kibarua kikubwa kuwashawishi wananchi.
 
Ujio mzigo wa Peter Msigwa kwenye Kambi liyotukuka ya Rais Doctor Samia Suluhu Hassan Msigwa amepokelewa Kwa mikono yote na Kwa uzito usio wa kawaida
 
Heshima sana wanajamvi.

Mchg Msigwa kahamia CCM baada ya kushindwa nafasi ya Mwenyekiti wa Kanda na Mh Sugu.

Mchg Msigwa kaenda CCM baada ya kushindwa na kukubali kushindwa,lakini siku mbili baada ya kutoa pongezi kubwa kwa Mh Sugu alianza kubwabwaja na kutoa shutuma dhidi ya uongozi pasipo ushahidi wa maana.

Mchg Msigwa kaenda CCM kwakuwa kakisa uongozi,huyu ni aina ya binadamu anayeamini bila uongozi hakuna maisha.

Kupokelewa na uongozi wa juu wa CCM ni ishara kuwa CCM wamekata pumzi kwakuwa aina ya mtu wanayempokea kakataliwa ndani ya chama alichotoka.

Ngongo kwasasa Kyembe samaki.
Mimi nikajua ni "kiembe samaki" kumbe ni "kyembe fish"?
 
Nakubali kabisa kuwa Msigwa ana haki ya kikatiba na kidemokrasia kuhamia popote atakapo.
Lkn pia nina wasiwasi na watu wa namna hii..sio watu wa kuaminika hata kidogo, msaliti ni msaliti tu..anaweza msaliti yoyote - hana loyality.Huyu kakaa CHADEMA akiwa kiongozi wa ngazi ya juu sana - na bado alikuwa ananafasi kubwa..hivyo suala sio uongozi.
Nafikiri ni unafiki mtu..angekuwa kijana anayejitafuta tungesema sawa..lkn huyu kawa mbunge miaka mingi - bado hajajipata tu??? mpanga kutangatanga..duuh??
 
Lissu alishasema kuwa kuna pesa inamwaga ili kusambaratisha upinzani.
Kuna jina alitaja kama Abdul.....Sasa kazi imeanza wale wenye msuri watasimama imara wale goigoi watabebwa na upepo Abdul.
 
Heshima sana wanajamvi.

Mchg Msigwa kahamia CCM baada ya kushindwa nafasi ya Mwenyekiti wa Kanda na Mh Sugu.

Mchg Msigwa kaenda CCM baada ya kushindwa na kukubali kushindwa,lakini siku mbili baada ya kutoa pongezi kubwa kwa Mh Sugu alianza kubwabwaja na kutoa shutuma dhidi ya uongozi pasipo ushahidi wa maana.

Mchg Msigwa kaenda CCM kwakuwa kakisa uongozi,huyu ni aina ya binadamu anayeamini bila uongozi hakuna maisha.

Kupokelewa na uongozi wa juu wa CCM ni ishara kuwa CCM wamekata pumzi kwakuwa aina ya mtu wanayempokea kakataliwa ndani ya chama alichotoka.

Ngongo kwasasa Kyembe samaki.
Sio kweli! Kuna Wana Chadema wengi walitoka CCM baada ya kukosa uongozi CCM. Niwataje?
 
Heshima sana wanajamvi.

Mchg Msigwa kahamia CCM baada ya kushindwa nafasi ya Mwenyekiti wa Kanda na Mh Sugu.

Mchg Msigwa kaenda CCM baada ya kushindwa na kukubali kushindwa,lakini siku mbili baada ya kutoa pongezi kubwa kwa Mh Sugu alianza kubwabwaja na kutoa shutuma dhidi ya uongozi pasipo ushahidi wa maana.

Mchg Msigwa kaenda CCM kwakuwa kakisa uongozi,huyu ni aina ya binadamu anayeamini bila uongozi hakuna maisha.

Kupokelewa na uongozi wa juu wa CCM ni ishara kuwa CCM wamekata pumzi kwakuwa aina ya mtu wanayempokea kakataliwa ndani ya chama alichotoka.

Ngongo kwasasa Kyembe samaki.
😆😆😆
 
Lakini Msigwa alisema kakata Rufaa nini kilitokea? Au alipuuzwa? Kuna maswali mengi ambayo hayahitaji majibu mepesi.
 
Back
Top Bottom