Wasalimie Kiembe Samaki hapo kwa Baruti TradersHeshima sana wanajamvi.
Mchg Msigwa kahamia CCM baada ya kushindwa nafasi ya Mwenyekiti wa Kanda na Mh Sugu.
Mchg Msigwa kaenda CCM baada ya kushindwa na kukubali kushindwa,lakini siku mbili baada ya kutoa pongezi kubwa kwa Mh Sugu alianza kubwabwaja na kutoa shutuma dhidi ya uongozi pasipo ushahidi wa maana.
Mchg Msigwa kaenda CCM kwakuwa kakisa uongozi,huyu ni aina ya binadamu anayeamini bila uongozi hakuna maisha.
Kupokelewa na uongozi wa juu wa CCM ni ishara kuwa CCM wamekata pumzi kwakuwa aina ya mtu wanayempokea kakataliwa ndani ya chama alichotoka.
Ngongo kwasasa Kyembe samaki.
HahaaaKila mtu katumwa pesa kwao,,,,,sahv pesa hapendi mchaga peke yake hadi mnyalu
Msigwa Ana tofauti na majani ya mchai Chai ambayo yamezidiwa na chaiAngekuwa Lissu ndio nchi ingetikisika.
Kwanini?Hawa jamaa hawatupendi machogo.
Mimi nikajua ni "kiembe samaki" kumbe ni "kyembe fish"?Heshima sana wanajamvi.
Mchg Msigwa kahamia CCM baada ya kushindwa nafasi ya Mwenyekiti wa Kanda na Mh Sugu.
Mchg Msigwa kaenda CCM baada ya kushindwa na kukubali kushindwa,lakini siku mbili baada ya kutoa pongezi kubwa kwa Mh Sugu alianza kubwabwaja na kutoa shutuma dhidi ya uongozi pasipo ushahidi wa maana.
Mchg Msigwa kaenda CCM kwakuwa kakisa uongozi,huyu ni aina ya binadamu anayeamini bila uongozi hakuna maisha.
Kupokelewa na uongozi wa juu wa CCM ni ishara kuwa CCM wamekata pumzi kwakuwa aina ya mtu wanayempokea kakataliwa ndani ya chama alichotoka.
Ngongo kwasasa Kyembe samaki.
Sio kweli! Kuna Wana Chadema wengi walitoka CCM baada ya kukosa uongozi CCM. Niwataje?Heshima sana wanajamvi.
Mchg Msigwa kahamia CCM baada ya kushindwa nafasi ya Mwenyekiti wa Kanda na Mh Sugu.
Mchg Msigwa kaenda CCM baada ya kushindwa na kukubali kushindwa,lakini siku mbili baada ya kutoa pongezi kubwa kwa Mh Sugu alianza kubwabwaja na kutoa shutuma dhidi ya uongozi pasipo ushahidi wa maana.
Mchg Msigwa kaenda CCM kwakuwa kakisa uongozi,huyu ni aina ya binadamu anayeamini bila uongozi hakuna maisha.
Kupokelewa na uongozi wa juu wa CCM ni ishara kuwa CCM wamekata pumzi kwakuwa aina ya mtu wanayempokea kakataliwa ndani ya chama alichotoka.
Ngongo kwasasa Kyembe samaki.
πππHeshima sana wanajamvi.
Mchg Msigwa kahamia CCM baada ya kushindwa nafasi ya Mwenyekiti wa Kanda na Mh Sugu.
Mchg Msigwa kaenda CCM baada ya kushindwa na kukubali kushindwa,lakini siku mbili baada ya kutoa pongezi kubwa kwa Mh Sugu alianza kubwabwaja na kutoa shutuma dhidi ya uongozi pasipo ushahidi wa maana.
Mchg Msigwa kaenda CCM kwakuwa kakisa uongozi,huyu ni aina ya binadamu anayeamini bila uongozi hakuna maisha.
Kupokelewa na uongozi wa juu wa CCM ni ishara kuwa CCM wamekata pumzi kwakuwa aina ya mtu wanayempokea kakataliwa ndani ya chama alichotoka.
Ngongo kwasasa Kyembe samaki.