FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,789
- 5,401
acha hivo hivo ndo tunafaidi mamabo ya optical nutrition haya
Mie nauliza tu kiuzushi, hivi Maza wa kwanza alikuwa hana shuguli nyingine ya kufanya mpaka kwenda kuangalia ulimbwende, Tanzania we r 50 steps behind au ni jina? Hivi Mume wake alimuacha na nani nyumbani usiku huo, kazi kweli kweli.
Mie nauliza tu kiuzushi, hivi Maza wa kwanza alikuwa hana shuguli nyingine ya kufanya mpaka kwenda kuangalia ulimbwende, Tanzania we r 50 steps behind au ni jina? Hivi Mume wake alimuacha na nani nyumbani usiku huo, kazi kweli kweli.
haijaniingia akilini bado, but anyway maybe it is there type of life.