mpenda pombe
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 1,406
- 711
mkuu kweli kabisa huu ushabiki wakipumbavu wa kuangalia wasanii wawili inabidi watu waache umeshaanza kutuludisha nyumamziki wa bongo.. umebinafsishwa na diamond na ali kiba.. msanii mwingine hata afanye nyimbo gani mashabiki hawana mzuka nae...
mziki wa siku hizi unaendana na kiki za kutoka na majimama au watu maarufu
kipindi anafanya real hip hop mlimsuport vip? mlinunua albums? hata akisema anafanya shows hajazi, watu wanaojifanya wanapenda real hip hop ni wanafiq sana, mtu akikomaa na hip hop halisi anakufa njaa, hakihama kidogo utasikia ooh, katusaliti..... kilq mwana hip hop now anataka angalau a twist kama weusi ili akamate ma bither men na masister do, angalau hao wanaweza kusuport gemu lao.
nimeusikia, binafsi yangu sijaupenda! nikifananisha na ile ngoma ya hili game, hii mpya iko low sana... but ukweli utabaki palepale kuwa tunapenda hip hop lakini hatu suport hip hop, sasa kwa ngoma kama story tatu ya jay moe ilivyohit na still haikuingiza pesa unafikili itakuwaje... kuna kipindi wasanii wanapata stress wanafikilia hata angalau waimbe kama kina kiba angalau.Ujio mpya wa Mo umeshausikia?
Unajua mkuu Jay Moe ni mmoja kati ya wasanii Wa kwanza kabisa Wa bongo flava. Hawa hawakuonja Pesa ya makampuni kama sasa sikiliza wimbo Wa Jay Moe "hili game" utaelewa.kipindi anafanya real hip hop mlimsuport vip? mlinunua albums? hata akisema anafanya shows hajazi, watu wanaojifanya wanapenda real hip hop ni wanafiq sana, mtu akikomaa na hip hop halisi anakufa njaa, hakihama kidogo utasikia ooh, katusaliti..... kilq mwana hip hop now anataka angalau a twist kama weusi ili akamate ma bither men na masister do, angalau hao wanaweza kusuport gemu lao.
hapo nimekuelewa mkuu, ila ni lazima kutakuwa na tatizo sehemu, niliona juhudi za tamaduni music kubadilisha mziki wao kuwa pesa zilivyogonga mwamba, M lab walijitahidi kuandaa matamasha lakini walikuwa wanapata hasara tu, ukiangalia upande wa pili wa shilingi ni tofauti kidogo, watoto wanaanda shows kiingilio ni elf 20 hadi 50 na wanajaza, lazima ukubali ubinafsi wa mashabiki wa hip hop unawaumiza wasanii, kingine ni medias... kuna kipindi media zote ziliaminisha umma kuwa hip hop haiuzi, hii imewajengea mentality wasanii wetu kuwa wanafanya tu for love na wakati wana majukumu... nakubaliana na wewe asilimia zote lakini kuna sehemu kuna tatizoUnajua mkuu Jay Moe ni mmoja kati ya wasanii Wa kwanza kabisa Wa bongo flava. Hawa hawakuonja Pesa ya makampuni kama sasa sikiliza wimbo Wa Jay Moe "hili game" utaelewa.
Kipindi hicho walitegemea mauzo ya kaseti kwa mdosi tens hata mauzo sahihi hawakuyajua. Kwa hiyo hata kama tulinunua kazi zao bado ni Pesa ndogo sana walipata. Shilingi 200 kwa kaseti moja ndio Pesa walikuwa wakilipwa.
Kwa hiyo kinachowabeba wasanii Wa sasa ni shows na uwekezaji Wa makampuni kwani game imeshakuwa biashara bila kusahau kampeni za siasa. Labda ujiulize kama kweli akina Diamond na Kiba wana support ya kutosha kwa nini hawatoi albums!?
muziki ni biashara..kama ukishindwa kujibrand na kujitangaza hakuna atakaye kuwa na wewe au atakaye ku-support..management lazima iwe inaweza kucheza na akili za watu....mfano mdogo diamond sio mzuri sana sana...ila jamaa anajua ku control music business na management yake inafanya kazi sana from social media mpaka kumtangaza njejamaa anajua sana huyu,sijui nini kinamfanya asing'are kiiviiiileee yani hana tofauti na belle9 anafanya mziki mkubwa saanaaa but yuko hana mass support..
Pathetic...!hapo nimekuelewa mkuu, ila ni lazima kutakuwa na tatizo sehemu, niliona juhudi za tamaduni music kubadilisha mziki wao kuwa pesa zilivyogonga mwamba, M lab walijitahidi kuandaa matamasha lakini walikuwa wanapata hasara tu, ukiangalia upande wa pili wa shilingi ni tofauti kidogo, watoto wanaanda shows kiingilio ni elf 20 hadi 50 na wanajaza, lazima ukubali ubinafsi wa mashabiki wa hip hop unawaumiza wasanii, kingine ni medias... kuna kipindi media zote ziliaminisha umma kuwa hip hop haiuzi, hii imewajengea mentality wasanii wetu kuwa wanafanya tu for love na wakati wana majukumu... nakubaliana na wewe asilimia zote lakini kuna sehemu kuna tatizo