Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Natoa wito kwa waandishi wote makini wa michezo kutumia ujio wa MaRais wa CAF na FIFA kujua ukweli na hatima ya uanachama wa Zanzibar kwenye vyama hivyo .
Mpuuzeni Rais wa TFF na propaganda zake , hawa wawili ndio wenye majibu halisi , na hawa ndio watakaotutajia aliyesababisha Zanzibar inyang'anywe uanachama wa CAF ambao tayari ilishapewa .
Mungu ibariki Jamhuri ya watu wa Zanzibar .
Mpuuzeni Rais wa TFF na propaganda zake , hawa wawili ndio wenye majibu halisi , na hawa ndio watakaotutajia aliyesababisha Zanzibar inyang'anywe uanachama wa CAF ambao tayari ilishapewa .
Mungu ibariki Jamhuri ya watu wa Zanzibar .