Rockcity native
JF-Expert Member
- Dec 31, 2012
- 2,174
- 1,445
Hii kitu imepigwa danadana hadi tumesahau kila mwaka walisema watakuja Tanzania.. Je, bw malinzi unaweza fatilia hii ziara utujuze mpango bado upo au ndo changa la macho real madrid kuja nchini.




