Ujio wa Robotaxi utaleta mapinduzi Hasi kwenye sekta ya Ajira za Madereva!

Ujio wa Robotaxi utaleta mapinduzi Hasi kwenye sekta ya Ajira za Madereva!

Mad Max

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2010
Posts
26,961
Reaction score
77,890
Wakuu.

Teknolojia kwenye sekta ya magari inazidi kukua kwa kasi sana.
images (23).jpeg

Ni miaka 10 tu iliyopita gari likiwa na Bluetooth, reverse camera, DVD, au cruise control ilikua vitu fancy, ila sasa hivi sio vitu vya kujivunia tena.
images (24).jpeg

Magari yamekua na Teknolojia kubwa sana kumpa comfort dereva na abiria.


Teknolojia inayosumbua makampuni ya magari sana hivi ni advanced driver-assistance system (ADAS).
blog 81 inner image-Five Levels of Vehicle Autonomy-01 (1).png

Hii ni teknolojia inayomsaidia dereva wakati wa kuendesha gari, na ina level kuanzia ndogo kabisa Level 1 (mfano ikiwa ni cruise control ambapo gari linaongeza au kupunguza speed kama matakwa yako) hadi kubwa kabisa Level 5 (ambayo ni full autonomous, ata gari inakuja bila steering, kuiweka ni option tu)!

Kwa sasa magari yenye ADAS level ya juu yapo Level 4, ambapo gari linaweza kujiendesha kuanzia point A hadi B bila msaada wa dereva (ingawa lazima mtu awepo amekaa seat ya dereva pale).
images (25).jpeg

Hii Level 4 itaperform kila kitu kuanzia kusimama kwenye zebra crossing, kwenye red light, kukwepa ajali, kutafuta parking spot, kukwepa njia iliyo kwenye matengenezo au iliofungwa etc. Inatumia geo fencing kwahiyo ni inatumika zaidi mjini na kutumia ramani (yaani mfano ww unavyotumia Google Map)!
images (29).jpeg

Dereva unaweza ukalala ila gari likikuhutaji kuna alarm litapiga, likiona kimya linapark pembeni na kujizima hadi uamke.

Sawa, izo ni features tu, sasa tuje kwenye hii inayokuja hivi karibuni (huu mwaka hauishi) ambayo ni ADAS level 5.
images (30).jpeg

Imeshaanza, lakini akiileta Tesla ndio itakua maarufu. Ndio maana tarehe 10 October, Tesla atakua na event pale Warner's Bros Studio Los Angeles, ambapo mbali na kutangaza magari yake mbalimbali (sana sana Tesla Model Y Juniper, Roadster 2.0 na ile Semi), pia atakuja na huduma yake mpya inayoita Cybercab (jina halijawa confirmed though).

Inasemekana gari zake zitakua hivi:

images (26).jpeg

Kama ilivyoonekana juzi juzi hapa ila ikiwa full camo ili wambeya msiijue hadi tar 10.
images (32).jpeg


Hii Cybercab ni Robotaxi inayokuja kwaajili ya biashara ya huduma ya ride sharing kama Bolt, Uber etc, tofauti pekee ikiwa ni kwamba hii hauitaji kua na dereva, kwahiyo unaita gari linakuja bila dereva, unapanda linakupeleka unapotaka kwenda unashuka imeisha (makato juu kwa juu kwenye kadi)!
images (27).jpeg

Kwa sasa makampuni mengine yapo kwenye majaribio, mfano Waimo na Cruise wamekua wakifanya autonomous driving kitambo sana kabla ya Tesla.

images (34).jpeg

Waymo_Chrysler_Pacifica_in_Los_Altos,_2017.jpg

Hawa Waimo kumbuka sio kampuni la magari, ila wao ni kampuni la Teknolojia kwahiyo wanaungana na makapuni ya magari mfano Mercedes Benz etc kisha wao wanatoa teknolojia.

Mfano mwingine hapa chini kampuni la Zoox wana hii gari yao ya seat nne (4).

24_zoox_sept14_openhouse-03.jpg


Ingawa kana shape mbaya ila ndio ivyo, mnakaa abiria tu hamna dereva.

24_zoox_sept14_openhouse-08.jpg


Okay sasa effect ni zipi?

Imagine zitakapopewa vibali (baadhi ya majimbo USA, na miji mikubwa nchi nyingine ikiwepo China na Europe wameshaipa kibali hii huduma, na magari yanaendelea kufanyiwa testing), itakua na madhara pande zote mbili, hasi na chanya.
images (33).jpeg

Kwa hasi, issue ya ajira kwa madereva itakua serious sana kwasababu ni watu wengi sana wamejiajiri kupitia hizi ride sharing service kama madereva wa Uber au Bolt.

Pia, baadhi ya huduma mfano kusafirisha mizigo midogo midogo ndani ya mji kama vyakula au parcel ndogo ndogo hakutahitaji tena dereva, ni mzigo unawekwa kwenye gari unaweka address inafika mahala tajwa.

Kwa nchi zetu itachelewa kufika, ila itafika na wala sio mbali kwahiyo tujiandae kujabiliana nayo. Inaweza kuanza kutuathiri sisi madereva wa STL boss analewa gari linalojiedesha ni yeye kusave address tu: Home, Work, Mchepuko, etc chuma inampeleka.
 
Mad Max dunia inabadilika kwa kasi sana. Inabidi kizazi cha leo kibadilike kuendana na hizo fursa. Fundi garaje wa mwembeni hana future. kazi nyingi zitapotea. Angalia uber na bolt alivyowatoa barabarani tax drivers. wanakuwa wabishi lakini wanajua kabisa hawana future. NIT na wengine wabadili mitaala. vijana wajikite kwenye AI na mrngine kama hayo.

Soko letu tunategemea used cars za Europe na Asia. very soon haya magari ya combustible engines yatapotea. tutaenda wapi? Hii ni fursa kwa wanaoona mbali na karibu.
 
Mad Max dunia inabadilika kwa kasi sana. Inabidi kizazi cha leo kibadilike kuendana na hizo fursa. Fundi garaje wa mwembeni hana future. kazi nyingi zitapotea. Angalia uber na bolt alivyowatoa barabarani tax drivers. wanakuwa wabishi lakini wanajua kabisa hawana future. NIT na wengine wabadili mitaala. vijana wajikite kwenye AI na mrngine kama hayo.

Soko letu tunategemea used cars za Europe na Asia. very soon haya magari ya combustible engines yatapotea. tutaenda wapi? Hii ni fursa kwa wanaoona mbali na karibu.
NIT na VETA wangejikata kichwa, watafute vijana wao (wakufunzi) watano hivi wawapeleke kusoma nje (mfano China) kwa miaka 3 wakirudi wanakua na course kabisa ya aya mambo ya hybrid, EV na auto-pilot.
 
Wakuu.

Teknolojia kwenye sekta ya magari inazidi kukua kwa kasi sana.
View attachment 3099731
Ni miaka 10 tu iliyopita gari likiwa na Bluetooth, reverse camera, DVD, au cruise control ilikua vitu fancy, ila sasa hivi sio vitu vya kujivunia tena.
View attachment 3099733
Magari yamekua na Teknolojia kubwa sana kumpa comfort dereva na abiria.


Teknolojia inayosumbua makampuni ya magari sana hivi ni advanced driver-assistance system (ADAS).
View attachment 3099738
Hii ni teknolojia inayomsaidia dereva wakati wa kuendesha gari, na ina level kuanzia ndogo kabisa Level 1 (mfano ikiwa ni cruise control ambapo gari linaongeza au kupunguza speed kama matakwa yako) hadi kubwa kabisa Level 5 (ambayo ni full autonomous, ata gari inakuja bila steering, kuiweka ni option tu)!

Kwa sasa magari yenye ADAS level ya juu yapo Level 4, ambapo gari linaweza kujiendesha kuanzia point A hadi B bila msaada wa dereva (ingawa lazima mtu awepo amekaa seat ya dereva pale).
View attachment 3099734
Hii Level 4 itaperform kila kitu kuanzia kusimama kwenye zebra crossing, kwenye red light, kukwepa ajali, kutafuta parking spot, kukwepa njia iliyo kwenye matengenezo au iliofungwa etc. Inatumia geo fencing kwahiyo ni inatumika zaidi mjini na kutumia ramani (yaani mfano ww unavyotumia Google Map)!
View attachment 3099739
Dereva unaweza ukalala ila gari likikuhutaji kuna alarm litapiga, likiona kimya linapark pembeni na kujizima hadi uamke.

Sawa, izo ni features tu, sasa tuje kwenye hii inayokuja hivi karibuni (huu mwaka hauishi) ambayo ni ADAS level 5.
View attachment 3099740
Imeshaanza, lakini akiileta Tesla ndio itakua maarufu. Ndio maana tarehe 10 October, Tesla atakua na event pale Warner's Bros Studio Los Angeles, ambapo mbali na kutangaza magari yake mbalimbali (sana sana Tesla Model Y Juniper, Roadster 2.0 na ile Semi), pia atakuja na huduma yake mpya inayoita Cybercab (jina halijawa confirmed though).

Inasemekana gari zake zitakua hivi:

View attachment 3099735
Kama ilivyoonekana juzi juzi hapa ila ikiwa full camo ili wambeya msiijue hadi tar 10.
View attachment 3099743

Hii Cybercab ni Robotaxi inayokuja kwaajili ya biashara ya huduma ya ride sharing kama Bolt, Uber etc, tofauti pekee ikiwa ni kwamba hii hauitaji kua na dereva, kwahiyo unaita gari linakuja bila dereva, unapanda linakupeleka unapotaka kwenda unashuka imeisha (makato juu kwa juu kwenye kadi)!
View attachment 3099736
Kwa sasa makampuni mengine yapo kwenye majaribio, mfano Waimo na Cruise wamekua wakifanya autonomous driving kitambo sana kabla ya Tesla.

View attachment 3099747
View attachment 3099727
Hawa Waimo kumbuka sio kampuni la magari, ila wao ni kampuni la Teknolojia kwahiyo wanaungana na makapuni ya magari mfano Mercedes Benz etc kisha wao wanatoa teknolojia.

Mfano mwingine hapa chini kampuni la Zoox wana hii gari yao ya seat nne (4).

View attachment 3099721

Ingawa kana shape mbaya ila ndio ivyo, mnakaa abiria tu hamna dereva.

View attachment 3099722

Okay sasa effect ni zipi?

Imagine zitakapopewa vibali (baadhi ya majimbo USA, na miji mikubwa nchi nyingine ikiwepo China na Europe wameshaipa kibali hii huduma, na magari yanaendelea kufanyiwa testing), itakua na madhara pande zote mbili, hasi na chanya.
View attachment 3099745
Kwa hasi, issue ya ajira kwa madereva itakua serious sana kwasababu ni watu wengi sana wamejiajiri kupitia hizi ride sharing service kama madereva wa Uber au Bolt.

Pia, baadhi ya huduma mfano kusafirisha mizigo midogo midogo ndani ya mji kama vyakula au parcel ndogo ndogo hakutahitaji tena dereva, ni mzigo unawekwa kwenye gari unaweka address inafika mahala tajwa.

Kwa nchi zetu itachelewa kufika, ila itafika na wala sio mbali kwahiyo tujiandae kujabiliana nayo. Inaweza kuanza kutuathiri sisi madereva wa STL boss analewa gari linalojiedesha ni yeye kusave address tu: Home, Work, Mchepuko, etc chuma inampeleka.
Remember the Kodak company? In 1997, Kodak had about 160,000 employees.
And about 85% of the world's photography was done with Kodak cameras. With the rise of mobile cameras over the past few years, Kodak Camera Company is out of the market. Even Kodak went completely bankrupt and all his employees were fired.

At the same time many more famous companies had to stop themselves. Like

HMT (clock)
BAJAJ (स्कूटर)
DYANORA (TV)
MURPHY (RADIO)
NOKIA (Mobile)
RAJDOOT (Bike)
Ambassador (car)

None of the above companies had bad quality. Why are these companies out yet? Because they could not change themselves over time.

Standing in the present moment you probably don't think how much the world could change in the next 10 years! And today's 70%-90% jobs will be completely over in the next 10 years. We are slowly entering the era of "Fourth Industrial Revolution".

Check out today's famous companies-

UBER is just a software name. No, they have no cars of their own. Yet today the world's largest taxi-fair company is UBER.

Airbnb is the largest hotel company in the world today. But funny thing is they don't own a single hotel in the world.

Similarly, examples of countless companies like Paytm, Ola Cab, Oyo rooms etc can be given.

There is no work for new lawyers in America today, because a legal software called IBM Watson can advocate much better than any new lawyer. Thus, almost 90% of Americans will not have any jobs in the next 10 years. The remaining 10% will be saved. These will be 10% experts.

The new doctor is also sitting down to work. Watson software can detect cancer and other diseases 4 times more accurately than humans. Computer intelligence will surpass human intelligence by 2030.

90% of today's cars will not be seen on the roads in the next 20 years. Leftover cars will either run by electricity or hybrid cars. The roads will slowly become empty. Gasoline consumption will decrease and oil producing Arab countries will slowly become bankrupt.

If you want a car you have to ask for a car from a software like Uber. And as soon as you ask for a car, a completely driverless car will come and park in front of your door. If you travel with several people in the same car, the rent of a car per person will be less than a bike.

Driving without driver will reduce the number of accidents by 99%. And this is why car insurance will stop and car insurance companies will be out.

Things like driving on earth will no longer survive. Traffic police and parking staff won't be required when 90% of vehicles disappear from the road.

Just think, there used to be STD booths in the streets even 10 years ago. All these STD booths were forced to close after the mobile revolution came in the country. Those who survived have become mobile recharge shops. Again online revolution in mobile recharge. People started recharging their mobile online sitting at home. Had to replace these recharge shops again. Now these are just mobile phones to buy and sell and repair shops. But this will also change very soon. Mobile phone sales are increasing directly from Amazon, Flipkart.

The definition of money is also changing. There used to be cash but in today's age it has become "plastic money". Credit card and debit card round was a few days ago. Now that too is changing and the era of mobile wallet is coming. Growing market of Paytm, one click of mobile money.

Those who cannot change with age, age removes them from the earth. So keep changing with the times.

Keep creating great content, keep moving with time.

TMA
 
Back
Top Bottom