Song of Solomon
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 2,752
- 5,609
Wananchiiiiii
Moja ya sajil bora ilofanyika kwa Yanga ni ongezeko la Tuisila Kisinda "Tk Master"
Ishu sio tu kua anarud kwenye timu yake ya zaman, ila pia analijua soka la Bongo kama ilivyokua kwa Chama kurud Simba
Kwa aina ya uchezaj wa Yanga ulivyo hasa wakutumia mawinga na fullbacks kushambulia, Tk master anarud katika utamu wake wa kushambulia kwa kutumia mbio zake
Kucheza Berkane kumemuongezea maarifa zaid hasa kwenye ubunifu katika eneo la mwisho ukilinganisha na alivyokua Yanga...sahv ana utulivu kwenye eneo la cross na kupasia....
Yanga itanufaika saa na Tk master kama ongezeko la quality kwenye kikosi hasa kwenye eneo la mawinga
Morrson, Nkane, Ambundo, Tk master, Moloko hapa Yanga in hazina kubwa sana kwenye kikosi [emoji460][emoji109]
Moja ya sajil bora ilofanyika kwa Yanga ni ongezeko la Tuisila Kisinda "Tk Master"
Ishu sio tu kua anarud kwenye timu yake ya zaman, ila pia analijua soka la Bongo kama ilivyokua kwa Chama kurud Simba
Kwa aina ya uchezaj wa Yanga ulivyo hasa wakutumia mawinga na fullbacks kushambulia, Tk master anarud katika utamu wake wa kushambulia kwa kutumia mbio zake
Kucheza Berkane kumemuongezea maarifa zaid hasa kwenye ubunifu katika eneo la mwisho ukilinganisha na alivyokua Yanga...sahv ana utulivu kwenye eneo la cross na kupasia....
Yanga itanufaika saa na Tk master kama ongezeko la quality kwenye kikosi hasa kwenye eneo la mawinga
Morrson, Nkane, Ambundo, Tk master, Moloko hapa Yanga in hazina kubwa sana kwenye kikosi [emoji460][emoji109]