Ujio wa VAR ligi yetu ya NBC inakwenda kushika nafasi za juu zaidi Afrika na Duniani

Ujio wa VAR ligi yetu ya NBC inakwenda kushika nafasi za juu zaidi Afrika na Duniani

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Siku ya jana tulishuhudia.

Siku maalum ya kuonesha vifaa vipya na vya kisasa vya kurushia matangazo ya mpira. Kutoka Azam tv
sambamba na hilo tukathibitishiwa rasmi matumizi ya VAR kwenye ligi yetu kuanzia msimu ujao wa 2024/2025
hakika hili ni jambo ambalo kwa upande wangu litaenda kuikuza ligi yetu na kuiongezea thamani zaidi na kupunguza malalamiko ambayo yamekuwa yakitokea mara kwa mara kuhusu maamuzi ya waamuzi wetu wanavyochesheza mechi

sasa ni wakati wa kujifunza kwa waamuzi na kuifanya kazi njema ili matengemeo ambayo watanzania wanatamani kuyaona kwenye mpira wetu basi uonekane na tuvike katika viwango vya dunia.

Hiii kwa nchi za Afrika Tanzania nayo itakingia katika nchi za mwanzoni katika matumizi ya VAR.

Soma Pia: VAR kutumika msimu wa 2024/25 ligi kuu ya NBC

Wallace Karia: Msimu huu hakutakuwa na matumizi VAR Ligi Kuu
 
Mmmh s
Siku ya jana tulishuhudia
Siku maalum ya kuonesha vifaa vipya na vya kisasa vya kurushia matangazo ya mpira. kutoka Azam tv
sambamba na hilo tukathibitishiwa rasmi matumizi ya VAR kwenye ligi yetu kuanzia msimu ujao wa 2024/2025
hakika hili ni jambo ambalo kwa upande wangu litaenda kuikuza ligi yetu na kuiongezea thamani zaidi na kupunguza malalamiko ambayo yamekuwa yakitokea mara kwa mara kuhusu maamuzi ya waamuzi wetu wanavyochesheza mechi
sasa ni wakati wa kujifunza kwa waamuzi na kuifanya kazi njema ili matengemeo ambayo watanzania wanatamani kuyaona kwenye mpira wetu basi uonekane na tuvike katika viwango vya dunia
Hiii kwa nchi za Afrika Tanzania nayo itakingia katika nchi za mwanzoni katika matumizi ya VAR
Mmmh siyo a hundredth percent,mana ujuz kwanza wa kutumia VAR wengi hawana kwa hiyo wawa train kwanza watalam watakao simamia hivo vifaa
 
Kama Simba na Yanga wataweza kucheza saa nane au tisa mchana kama timu zingine hapo sawa
Naam. Hii ligi ina upendeleo. Simba na Yanga zinatengenezewa mazingira ya kugombea ubingwa kila mwaka wakati hawa wengine lolote liwatokee.
 
Mmmh s

Mmmh siyo a hundredth percent,mana ujuz kwanza wa kutumia VAR wengi hawana kwa hiyo wawa train kwanza watalam watakao simamia hivo vifaa
Kuna mashindano ya vijana yalifanyika mwaka jana kama sikosei. Ndio yalikofanyika mazoezi ya VAR.
 
Saa tisa utaacha kazi uende kuangalia mpira?
Watu mtumie akili zenu vizuri mpira ni biashara huwezi kuweka mechi inayoyazamwa na wengi muda wa kazi.
Bora saa tisa. Azam na timu nyingine wana ratiba ya kucheza hadi saa nane mchana na jua kali vile. Lakini hao jamaa wawili hiyo ratiba ni kama haiwahusu.
 
Saa tisa utaacha kazi uende kuangalia mpira?
Watu mtumie akili zenu vizuri mpira ni biashara huwezi kuweka mechi inayoyazamwa na wengi muda wa kazi.
Ndiyo nitaacha sababu haitakuwa mechi ya kwanza ya saa 8 mchana mimi kuangalia. Kwahiyo timu zingine zipangiwe ratiba ngumu sababu ya kuangalia biashara, inafurahisha.
 
Naam. Hii ligi ina upendeleo. Simba na Yanga zinatengenezewa mazingira ya kugombea ubingwa kila mwaka wakati hawa wengine lolote liwatokee.
Inafurahisha, ligi haina usawa kwa timu kupambania ubingwa. Azam huwa anakipiga mchana jua kali ila hizi mbili za k/koo zimewekewa uspecial
 
Siku ya jana tulishuhudia.

Siku maalum ya kuonesha vifaa vipya na vya kisasa vya kurushia matangazo ya mpira. Kutoka Azam tv
sambamba na hilo tukathibitishiwa rasmi matumizi ya VAR kwenye ligi yetu kuanzia msimu ujao wa 2024/2025
hakika hili ni jambo ambalo kwa upande wangu litaenda kuikuza ligi yetu na kuiongezea thamani zaidi na kupunguza malalamiko ambayo yamekuwa yakitokea mara kwa mara kuhusu maamuzi ya waamuzi wetu wanavyochesheza mechi

sasa ni wakati wa kujifunza kwa waamuzi na kuifanya kazi njema ili matengemeo ambayo watanzania wanatamani kuyaona kwenye mpira wetu basi uonekane na tuvike katika viwango vya dunia.

Hiii kwa nchi za Afrika Tanzania nayo itakingia katika nchi za mwanzoni katika matumizi ya VAR
Hilo bado halina msaada kwasababu bado kuna timu zinaonewa au kunufaika kwa maamuzi mabovu ya waamuzi. Kama tulihitaji kutokomeza maamuzi mabovu kwenye ligi yetu basi ni kheri ingesubiriwa hadi itakapokuwa tumejipanga kwa VAR itumike kwa mechi zote. Sio kubagua wengine waendelee kunyongwa na wengine wapate haki
 
Hilo bado halina msaada kwasababu bado kuna timu zinaonewa au kunufaika kwa maamuzi mabovu ya waamuzi. Kama tulihitaji kutokomeza maamuzi mabovu kwenye ligi yetu basi ni kheri ingesubiriwa hadi itakapokuwa tumejipanga kwa VAR itumike kwa mechi zote. Sio kubagua wengine waendelee kunyongwa na wengine wapate haki
Mi nafikiri tuanze nayo tu. Changamoto zipo tutakua tunazitatua taratibu hadi lengo litafikiwa.
 
Back
Top Bottom