Ujio wa viongozi wakuu wa nchi za Africa umedhihirisha ufinyu wa miundombinu ya jiji la Dar es Salaam na udhaifu wa uongozi uliopo

Ujio wa viongozi wakuu wa nchi za Africa umedhihirisha ufinyu wa miundombinu ya jiji la Dar es Salaam na udhaifu wa uongozi uliopo

fazili

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2011
Posts
16,427
Reaction score
22,418
Kitendo cha kufunga barabara na kuzuia watu kwenda kazini kwa siku mbili za mkutano wa nishati wa viongozi wa Africa kimrdhihirisha ufinyu mkubwa wa miundombinu ya jiji la Dar es Salaam. Ufinyu huu ni hatari kwa ukuaji wa uchumi wetu na usalama wa wakazi wa jiji hilo.

Ni wageni wachache tu pengine hawazidi 1000, lakini imebidi watu walazimishwe kubaki nyumbani na kuacha shughuli zao za kila siku.

Safari za treni zimeathiriwa na mwenendo wa shule umeathiriwa.

Pia imekuwa ni aibu kuona miundombinu ya barabara ikikarabatiwa dakika za mwisho kabisa.

Ni lini tujenga utamaduni wa kupenda kuweka mazingira yetu safi wakati wote bila shinikizo kutoka nje?
 
Dar es salaam ni mji uliojengwa hovyo, entry and exit roads ni zile zile alizojenga Nyerere miaka 50 iliyopita. Hakuna barabara mpya imejengwa baada ya Nyerere. Mipango miji hakuna, mji unajengwa hovyo hovyo bila mpangilio bila utaratibu.

Viongozi wetu hawafikirii miaka hata 20 mbele, wao hufikiria leo yao wapige pesa waondoke.

Leo viongozi 26 tu kutembelea Tanzania mji unafungwa, kwa maana kwamba uchumi unasimama badala ya uchumi kukua.

Najiuliza kama kikao kidogo kama cha nishati hicho kinasimamisha mji, hivi tutaweza kweli ku host AU meeting?
 
Mara nyingi hatupendi kujiamulia mpaka kwa msaada na ufadhili toka watu wa...................
Mtihani mkubwa kwetu ni kuyaishi na kuyatimiza yale tunayoyatangaza badala ya kuyaacha kwenye makabrasha.
 
MWAKA 1961 TANGANYIKA IKIPATA UHURU.

BABA WA TAIFA ALIWATAJA MAADUI WAKUU WA TATU WA TAIFA.
1. UMASIKINI.
2. UJINGA.
3. MARADHI.

AKAMALIZA KWA KUSEMA "MAADUI HAWA NI MAADUI KWELI KWELI NA SI MAADUI WA DHIHAKA"
JK NYERERE
 
Kitendo cha kufunga barabara na kuzuia watu kwenda kazini kwa siku mbili za mkutano wa nishati wa viongozi wa Africa kimrdhihirisha ufinyu mkubwa wa miundombinu ya jiji la Dar es Salaam. Ufinyu huu ni hatari kwa ukuaji wa uchumi wetu na usalama wa wakazi wa jiji hilo.

Ni wageni wachache tu pengine hawazidi 1000, lakini imebidi watu walazimishwe kubaki nyumbani na kuacha shughuli zao za kila siku.

Safari za treni zimeathiriwa na mwenendo wa shule umeathiriwa.

Pia imekuwa ni aibu kuona miundombinu ya barabara ikikarabatiwa dakika za mwisho kabisa.

Ni lini tujenga utamaduni wa kupenda kuweka mazingira yetu safi wakati wote bila shinikizo kutoka nje?
"Wazaramo" au waswahili ukiwaambia wafuate utaratibu fulani watakuona wewe unatumia mabavu , na sio utawala Bora.
Kinacho dumaza miji yetu ni
Kutozingatia kanuni na taratibu za mipango miji na za ujenzi. Kuhusu maegesho, ukubwa wa eneo na jengo linalowekwa kama ya makazi au biashara, bidhaa zitawekwa wapi au ndio hivyo kwenye eneo la watembea, kwa miguu, hizo Hoteli zilizo jengwa zina maegesho ya kutosha, kwenye maegesho ya usafiri wa umma yanatosheleze.
 
Kitendo cha kufunga barabara na kuzuia watu kwenda kazini kwa siku mbili za mkutano wa nishati wa viongozi wa Africa kimrdhihirisha ufinyu mkubwa wa miundombinu ya jiji la Dar es Salaam. Ufinyu huu ni hatari kwa ukuaji wa uchumi wetu na usalama wa wakazi wa jiji hilo.

Ni wageni wachache tu pengine hawazidi 1000, lakini imebidi watu walazimishwe kubaki nyumbani na kuacha shughuli zao za kila siku.

Safari za treni zimeathiriwa na mwenendo wa shule umeathiriwa.

Pia imekuwa ni aibu kuona miundombinu ya barabara ikikarabatiwa dakika za mwisho kabisa.

Ni lini tujenga utamaduni wa kupenda kuweka mazingira yetu safi wakati wote bila shinikizo kutoka nje?
Ndio uhalisia huo
 
Dar es salaam ni mji uliojengwa hovyo, entry and exit roads ni zile zile alizojenga Nyerere miaka 50 iliyopita. Hakuna barabara mpya imejengwa baada ya Nyerere. Mipango miji hakuna, mji unajengwa hovyo hovyo bila mpangilio bila utaratibu.

Viongozi wetu hawafikirii miaka hata 20 mbele, wao hufikiria leo yao wapige pesa waondoke.

Leo viongozi 26 tu kutembelea Tanzania mji unafungwa, kwa maana kwamba uchumi unasimama badala ya uchumi kukua.

Najiuliza kama kikao kidogo kama cha nishati hicho kinasimamisha mji, hivi tutaweza kweli ku host AU meeting?
Na kibaya zaidi wanasomesha wataalamu wa hizo kazi wanaishia kuwa madalali kuna vijana wengi sana wamemaliza Ardhi pale kozi ya HIP (House and infrastructure Planning) ila kila siku hamna kazi wakati hawa vijana wangepewa nafasi ata waboreshe huu mji tunahali mbaya sana compared to othere big cities in Africa
 
Kitendo cha kufunga barabara na kuzuia watu kwenda kazini kwa siku mbili za mkutano wa nishati wa viongozi wa Africa kimrdhihirisha ufinyu mkubwa wa miundombinu ya jiji la Dar es Salaam. Ufinyu huu ni hatari kwa ukuaji wa uchumi wetu na usalama wa wakazi wa jiji hilo.

Ni wageni wachache tu pengine hawazidi 1000, lakini imebidi watu walazimishwe kubaki nyumbani na kuacha shughuli zao za kila siku.

Safari za treni zimeathiriwa na mwenendo wa shule umeathiriwa.

Pia imekuwa ni aibu kuona miundombinu ya barabara ikikarabatiwa dakika za mwisho kabisa.

Ni lini tujenga utamaduni wa kupenda kuweka mazingira yetu safi wakati wote bila shinikizo kutoka nje?
Ufisadi, ufisadi, ufisadi
 
Mlevi wa Rushwa na Ufisadi hawezi kukumbuka maendeleo hata siku moja.
 
Back
Top Bottom