Ujuaji wa simba ndiyo utawaponza

Ujuaji wa simba ndiyo utawaponza

kwisha

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2021
Posts
1,779
Reaction score
4,982
Simba ndiyo timu pekee ukiwasikiliza kwa maneno unaweza kufikiri labda wao ndiyo mabingwa wa Tanzania na muda wote na wana makombe mengi ya Africa kwa maneno tu.

Yaani huwa hawataki yanga azungumzwe kwenye jambo la kimataifa utasikia wao ni 0.5 hawana lolote.

Ila nataka ni wakumbushe tu mdomo wenu ndo utawaponza sijui baada ya kuona yanga wanapeperusha bendera vizuri ya Tanzania watakuwa na msemo gani ambao watakuwa wanaongeya
 
yaan mpira ulivyo usishangae watu wakafka finally kama kaizer
 
Simba ndo timu pekee ukiwasikiliza kwa maneno unaweza kufikiri labda wao ndo mabingwa wa Tanzania na mda wote na wana makombe mengi ya africa kwa maneno...
Timu y mapolisi hiyo.
 
Wana Lunyasi tunaendelea kukumbushana, nyuzi za kiwaki kama hizi hatupaswi kupoteza energy zetu ku-reply.

Tuwe tunazipuuzia tupige kimya kimya. Wanavyoanzisha nyuzi za kiwaki na sisi kuchangia ni kama tunawapa promo!!!

"Let's keep quiet to the fools"
 
Unamjua sopu ww alivunja kioo na protector yake arusha na vipers wakavunja motherboard huo ni mfano hujakutana na kaizer chief wala red arrow.
 
Simba ndiyo timu pekee ukiwasikiliza kwa maneno unaweza kufikiri labda wao ndiyo mabingwa wa Tanzania na muda wote na wana makombe mengi ya Africa kwa maneno tu.

Yaani huwa hawataki yanga azungumzwe kwenye jambo la kimataifa utasikia wao ni 0.5 hawana lolote.

Ila nataka ni wakumbushe tu mdomo wenu ndo utawaponza sijui baada ya kuona yanga wanapeperusha bendera vizuri ya Tanzania watakuwa na msemo gani ambao watakuwa wanaongeya
Yanga hatakaa afikie mafanikio ya Simba kimataifa... Haitakaa otokee
 
Back
Top Bottom