Watu km huyo zakazakazi wapo wengi sana, yaani km namuona vile na uchawi wake...
Halafu ukija kwenye utendaji au namna alivyoingia hapo azam sio kwa uwezo wake unaezakuta kapigiwa pande na mtu au shemeji yake, in short sio uwezo wake ndio umemuweka hapo...
Roho mbaya tu na ujuaji mwingi, takataka kabisa!