Mimi pia sijawahi kuuelewaMoja ya michezo ambayo sijawahi kuielewa, ni sawa sawa uende barabarani uanze kushangilia magari yanayopita [emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuwa uende barabarani uanze kushangilia magari yanayopita[emoji848][emoji848]Moja ya michezo ambayo sijawahi kuielewa, ni sawa sawa uende barabarani uanze kushangilia magari yanayopita [emoji16]
Mkuu usikatishwe tamaa. Sisi wafatiliaji wa F1 tumekuelewa na tutakuwa tunapeana updates za kinachoendelea. Ikumbukwe msimu mpya wa F1 2023 ndio huo unafunguliwa rasmi iyo march 5 huko BahrainInasikitisha sana.wewe mwenye maelezo marefu tunaomba utueleza hapa.uliombwa kutukana
Sioni tofauti mkuu [emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuwa uende barabarani uanze kushangilia magari yanayopita[emoji848][emoji848]
Ni mchezo tu kama mingine. Kuna jumla ya timu kumi zinazoshiriki kushindania Ubingwa. Kila timu inakuwa na madereva wawili na kila mmoja anakuwa na gari lake. Kwaio kwa timu hizo kumi kunakuwa na madereva 20 wanaoendesha magari 20. Kunakuwa na points na mwisho wa msimu mwenye points nyingi ndio anayekuwa bingwa.Sioni tofauti mkuu [emoji16]
Shukrani mkuu kwa ufafanuzi ila huo mchezo hapana kwakweli..Ni mchezo tu kama mingine. Kuna jumla ya timu kumi zinazoshiriki kushindania Ubingwa. Kila timu inakuwa na madereva wawili na kila mmoja anakuwa na gari lake. Kwaio kwa timu hizo kumi kunakuwa na madereva 20 wanaoendesha magari 20. Kunakuwa na points na mwisho wa msimu mwenye points nyingi ndio anayekuwa bingwa.
Sema kunakuwa na ubingwa wa aina mbili, kunakuwa na ubingwa wa dereva mmoja mmoja, hapa namaanisha dereva atakayekuwa na point nyingi kuliko madereva wote 20 ndio anakuwa mshindi. Na pia ubingwa wa timu hapa namaanisha timu itakayokuwa na jumla ya point nyingi kwa madereva wake wote wawili..
Hebu fatilia ni moja ya mchezo mtamu sana. Sky sports F1 channel wanarusha live
Sio juzijuzi mzee inafika hata miaka saba tangu apate hiyo ajali na nadhani hadi leo bado yupo kitandani..Enzi za ujana wetu bingwa wa mchezo huu alikuwa ni Michael Schumacher, Mjerumani. Juzi juzi alipata ajali ya mgongo alipokuwa anafanya mchezo wa kuteleza kwa kutumia mabongo kwenye barafu ya milima ya Alps
Unaweza kusoma taarifa zake hapa chini
Kama ule wa kujificha.Duniani kuna michezo mingi