Kwanza uko wapi, Dar au mikoani? Kama uko kanda ya kaskazini nenda KCMC, kama uko kanda ya pwani / mashariki nenda Muhimbili au nenda pale Amana hospital kuna specialist wa ngozi anafika pale weekly; kama uko kanda ya ziwa nenda Bugando. Kumbuka kuna gharama utatozwa au utatakiwa kulipia, jitayarishe. Wakati ukisubiri kumuona mtaalamu, zingatia usafi, badili nguo za juu mara mbili kutwa na za ndani kutwa mara tatu, soksi mara moja kutwa, fua nguo zako kwa jik, na wewe oga mara nne kwa siku kwa medicated soap!!! Zingatia, ni ushauri wa bure huo!!