Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 26,519
- 78,311
Tanzanians killed in South Africa, Tanzanians killed in Mozambique....Why only Tanzanians? The government is just trying to save face, to show that it can protect its citizens outside its boundaries, but in reality they cant.....
Sasa wewe umezoea kusikiliza Maneno ya mitaani, unataka na sisi tuendelee kulumbana na walevi?. Mwambie alete ushahidi kama kuna watanzania waliokua wanaishi katika hizo nchi na wakauliwa.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]kisha unawaskia ukimgusa mtanzania mmoja utakiona...hku jamaa wakiuliwa na bado hawafanyi kitu
Sasa wewe umezoea kusikiliza Maneno ya mitaani, unataka na sisi tuendelee kulumbana na walevi?. Mwambie alete ushahidi kama kuna watanzania waliokua wanaishi katika hizo nchi na wakauliwa.
Wakati mwengine kujibishana na wakenya ni sawa na kujibishana na wendazimu, sasa hili tukio limetokea ndani ya Msumbiji, sasa hivi POLISI wa Tanzania wapo nchini Msumbiji kuwasaka hawa majangili, sasa wewe ulitakaje?. Sisi tumesema, mkiwagusa watanzania hapo kwenu, tutakuja kuwafundisha adabu.Wacha kulia lia wewe...eti "ukimgusa mtanzania hapo nairobi ndio mtaona"[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Haya sasa...wameuliwa boader kabisa...nendeni mkawaonyeshe cha mtema kuni hao jamaa....[emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26]
11 dead in Mozambique insurgent attack near Tanzania border
A customs official at the nearby Namoto border post said the villagers had tried to fight back using sticks and axes.citizen.co.za
Tanzanian student murdered in South Africa
A University of Johannesburg (UJ) PhD student from Tanzania, Mr Baraka Leonard Nafari was murdered on Friday, February 23rd, 2018, his cousin Uwezo Edward confirmed.www.thecitizen.co.tz
Polisi wa Tanzania ni tofauti sana na Kenya, lazima watakatwa na silaha zao mkononi.Mnadhani watakamatwa? Ni kibarua kigumu sana hicho. Unless they apprehend innocent people to please the citizens joto la jiwe
Wakikamatwa unitag
Unamaanisha polisisiem ?Wale wanaopiga watu risasi mitaani kiholelaholelaPolisi wa Tanzania ni tofauti sana na Kenya, lazima watakatwa na silaha zao mkononi.
Manyangau walitaka kuwasha moto waka uzima wenyewe
JPM katisha wamesanda wenyewewakaanza kuondoka na madumu ya petrol.
Waliogopa sana, walikuwa wapole ghafla, hawakutegemea ile reaction, hawawezi kurudia tena. Mpaka sasa baadhi hawaamini kama Magufuli amesamehe kweli.wakaanza kuondoka na madumu yao ya petrol.