Ab-Titchaz
JF-Expert Member
- Jan 30, 2008
- 14,630
- 4,253
Mkuu, kwani haufahamu kuwa kituo hiki cha TV ni mali ya Uhuru?Kuna sehemu nilipost kuwa nimeshajua hukumu inavyoelekea. Ilifika wakat ikawa obvious hukumu itakavyokuwa, lakini kwa manstream media kujitoa kimasomaso hivyo lazima wawe na sababu zaidi ya speculations!
Mkuu, kwani haufahamu kuwa kituo hiki cha TV ni mali ya Uhuru?