Consultant JF-Expert Member Joined Jun 15, 2008 Posts 11,503 Reaction score 20,892 Jan 31, 2010 #2 Du! .....Ni Hasidi wa WAWAZANZIBA Nilidhani kule ndio kiswahili 'sanifu' kilipoanzia BTW, hayo yalikuwa maandamano ya nini hasa?
Du! .....Ni Hasidi wa WAWAZANZIBA Nilidhani kule ndio kiswahili 'sanifu' kilipoanzia BTW, hayo yalikuwa maandamano ya nini hasa?
MrFroasty JF-Expert Member Joined Jun 23, 2009 Posts 1,195 Reaction score 595 Jan 31, 2010 Thread starter #3 Sinyolita said: Du! .....Ni Hasidi wa WAWAZANZIBA Nilidhani kule ndio kiswahili 'sanifu' kilipoanzia BTW, hayo yalikuwa maandamano ya nini hasa? Click to expand... Tupe hicho kiswahili chako wewe utasema vipi badala ya neno "hasidi". P:S **Maandamano ya kuunga mkono maridhiano baina ya CUF na CCM katika jitihada za kuleta amani visiwani Zanzibar
Sinyolita said: Du! .....Ni Hasidi wa WAWAZANZIBA Nilidhani kule ndio kiswahili 'sanifu' kilipoanzia BTW, hayo yalikuwa maandamano ya nini hasa? Click to expand... Tupe hicho kiswahili chako wewe utasema vipi badala ya neno "hasidi". P:S **Maandamano ya kuunga mkono maridhiano baina ya CUF na CCM katika jitihada za kuleta amani visiwani Zanzibar
Mwazange JF-Expert Member Joined Nov 16, 2007 Posts 1,056 Reaction score 82 Feb 1, 2010 #4 Dah hizi siasa za kwetu......we haya tu..