Ujumbe kwa Bongo Movie;baada ya awamu ya tano andaeni movie ya RC mkuu wa ma RC

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
Kila tokeo linalotokea weekeni kwenye diary zenu. Mtapata script nzuri sana huko mbeleko. Tanzania haijawahi kutokea RC aliyempa waziri amri.

RC mkuu wa ma RC utakumbukwa daima pia kwa juhudi za kutafuta watoto wa nje wa Mzee Lowasa, kutetea wajane, kuleta container la miguu ya bandia pasi kuwapima wagonjwa.

Bongo movie hii movie ikiandaliwa vyema utakuwa best seller.
 
Bora umewapa mchongo wa kupiga hela wasanii wetu hawajui kujiongeza
 
Mbona kawaida sana..mimi nilidhani wangeandaa movie kuhusu hayati Mwl.Nyerere
 
Vipi tukitengeneza hiyo movie sasa hivi kuna shida? Mbona unasema baada??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…