Ujumbe Kwa Kikwete

Geeque,
Mkuu sikuwezi, Mjomba kweli inabidi asukumiwe kimondo hiki..
Well, nimechungulia tu nasubiri final four unajua tena, ndio habari ya leo..

Mazee Mkandara hii nyimbo inamfaa sana yaani inabidi wai-download hii video kwenye Ipod yake ili awe anaicheki kila siku.
 
Oh,huku bongo huo wimbo upo hewani tangu mwezi November last year.So nadhani kama ni kuusikia kesha usikie,sasa je kauelewa?Kama kauelewa katilia maanani yale yaongelewayo?Tutegemee lolote kutoka kwa kaka mkubwa?
 
Jamani kumbe kiswahili ni lugha tamu sana!

Kuna kaujumbe ka Kiswahili hapa kanafuhahisha kwa anayependa ajaribu kukasikia kutoka kwa wasanii wetu wa!

Jaribu kufuata hii link ya mtandao kwa kubonyeza alama ya PLAY


[mp3]http://www.jambovideos.com/bongos/NikipataNauli.mp3[/mp3]
 
Swadakta...... All in one song, haya tuone kama hii maneno itakuwa inafuatiliwa.... Mrisho Mpoto ametoa kitu clasical kabisa, ukweli mtupu!! Hongera Mrisho!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…