pet geo pet
JF-Expert Member
- Jun 30, 2018
- 508
- 788
Wakuu habari!
Niende moja kwa moja kwenye mada.ujumbe huu umfikie rais Joseph magufuri.
Katika uchaguzi huu magufuri atashinda kwa asilimia nyingi sana kwani mengi amefanya aliyoyahahidi kipindi cha 2015.
Kitu kinachomtia DOA mpka sasahivi ni ajira kwa vijana hasa wale waliomaliza shahada ya masomo ya sanaa.
Ajira za walimu hasa za masomo ya sanaa azijatoka toka mwaka 2015 mpka sasahivi.
Hivyo basi rais ukipata huu ujumbe tunaomba utoe ajira za walimu kwani hawa wengi wao ni watoto wa masikini wanategemewa na ukoo mzima kama sio familia.
Ukitoa ajira moja utakuwa umepata kula zaidi ya 20 kwani wengi wa hawa walimu wahiti ni watoto wa masikin kwa hali hiyo utashinda kwa asilimia 99.9%.
Ajira ajira rais magufuri.
Niende moja kwa moja kwenye mada.ujumbe huu umfikie rais Joseph magufuri.
Katika uchaguzi huu magufuri atashinda kwa asilimia nyingi sana kwani mengi amefanya aliyoyahahidi kipindi cha 2015.
Kitu kinachomtia DOA mpka sasahivi ni ajira kwa vijana hasa wale waliomaliza shahada ya masomo ya sanaa.
Ajira za walimu hasa za masomo ya sanaa azijatoka toka mwaka 2015 mpka sasahivi.
Hivyo basi rais ukipata huu ujumbe tunaomba utoe ajira za walimu kwani hawa wengi wao ni watoto wa masikini wanategemewa na ukoo mzima kama sio familia.
Ukitoa ajira moja utakuwa umepata kula zaidi ya 20 kwani wengi wa hawa walimu wahiti ni watoto wa masikin kwa hali hiyo utashinda kwa asilimia 99.9%.
Ajira ajira rais magufuri.