Ijumaa nilazima watoto waende shule ,ila ikifika saa sita hadi saa nane wanaenda kuswali ,kwahiyo kama huyo mzeee anawazuiya watoto wasiende shule ijumaa ,watoto wanahesabika kama watoro so mwalimu atakua sahihi,ila pia kama mda wakuabudi ukifika hawapew nafasi yakuswali ,huyo mwalim atakua na makosaUmetoa mfano wa hovyo mtu na imani yake anazungumzia Ijumaa anakwenda kuswali wewe unazungumzia kuchunga ng'ombe wacha tuishie hapa naona unashika kete yeyote..
Sawa nimekuelewa vizuri brotherIjumaa nilazima watoto waende shule ,ila ikifika saa sita hadi saa nane wanaenda kuswali ,kwahiyo kama huyo mzeee anawazuiya watoto wasiende shule ijumaa ,watoto wanahesabika kama watoro so mwalimu atakua sahihi,ila pia kama mda wakuabudi ukifika hawapew nafasi yakuswali ,huyo mwalim atakua na makosa
Dini zote ni utumwa wa fikraView attachment 2906550
Je Sheria ya nchi inasemaje ? soma hapo chini 👇
View attachment 2906553
ASalam Alaykum,
Hongera nyingi sana kwa ndugu yetu wa imani ya kiislamu kwa jihad kubwa aliejitolea wa ujasiri mkubwa kuongea hayo bila oga na hatimaye natija yake ameamsha usingizi hisiya ya siyo ya viongozi na Mashekh wetu tuu bali hata viongozi wetu wa serikali kuwa kutukumbusha na nyaraka ilyotolewa mwaka 1999. na wizard ya elimu...hatuwezi kujua kiasi ya malipo yake kubwa atapewa na Mwenyeezi Mungu Subhana Wataala. Pia kuwa zindua viongozi wa dini na Mashekh wetu kuweza kutambua makosa yetu kotika kujua haki zetu nyingi tulizo nazo katika Serikali yetu ya Mungano wa Tanzania.
Alhamdulillah.. sasa wanafunzi wa kiislamu wengi watapewa haki yao ya kutimiza ibada sala ya ijuma na sasa itakuwa ni thawabu ja'ariyah kwa huyo bwana.. hata siyo kiongozi wala Sheikh. Bali alikerwa na kuchukua uamuzi binti zake wasiende shule ili waende kutimiza ibada ya salaa ya ijumaa.. kweli Mwenyeezi Mungu Subhana Wataala amempa malipo makubwa ya jitihada zake kupigania haki za wanafunzi wote wapate ruhusa ya kutimiza ibada ya salaa za ijumaa...Ameen
Kweli Alhamdulillah ametupa darasa kubwa sana...tusiogope kusema ukweli kunusuru Dini la
Mwenyeezi Mungu Subhana Wataala na yeye ndie atawalipa .. Ameen
Mzee unataka tuwe na siku tatu za mapumziko?Ibugui vipi mbona siku ya mapumziko ni siku ya jumamosi na j pili hili wagaratia waende kanisani kumuabudu mwana wa mariamu,iweje waisilamu wapate masaa 2 tu ya kwenda msikitini tena wanafunzi tu hilo ulioni?
Mkuu acha upotoshaji katiba inatumbua siku mbili za mapumziko Jumamosi na Jumapili.Huo sio ubaguzi masaa 2 tu huku wakirito wakipewa siku 2 nzima kwa wiiki,jambo hili ilitakiwa wakirito mlitazame upya hata kama ubaguzi sio hivyo jambo hili huko mbeleni mnao waita wajinga siku wakiamka itakuwa mshike mshike masaa 2 kwa siku 2 aabwana