Ujumbe Kwa Tanapa - Utalii

Pinto ameshaanza ingia mitini, nasikia ata DISCO kule Leicester ameshafunga
 
Haya mambo bwana..watu wanafanya wakifikiri wako mbali na hawataweza kamwe kuonekana!! Shame
 
Jamani mbona huyu jamaa anapata lawama ambazo sio zake.Kwani yeye hakwenda tanzania na kulazimisha kupewa Tender, ameomba tender na amepewa.Swala la kujiuliza nani alimpa Tender na kwa kigezo gani? kwani yeye sio serikali.Serikali ya Tanzania inawajibika moja kwa moja kwa hili.

When the blind rules the blinder that is what happen
 

Tatizo sio kuomba tenda,ila kama juma pinto aliomba,hiyo tenda ilitangazwa wapi,maana kama aliomba bila kutangazwa that means kuna lobying and there was no fair competition.na kama aliomba alishindanishwa na nani
 
Wakulu wa JF;

Nimesikia kutoka katika sources mbili tofauti na katika vipindi viwili tofauti kwamba MNENE wa TANAPA alikutwa na PCCB (Arusha) akiwa na kiasi kukubwa cha pesa zinazofikia TZS 6 Billions. Ila mpaka sasa hii issue "Bado ipo ipo tu . . . . "

Wenye DATAZ tunaomba mtuhabarishe zaidi.
 
Si kweli na mbona hutaji jina lake ? Huyo anayatarajiwa kuondolewa hapo kati kati ya mwezi huu au nani
 
Mkuu Alien alikutwa na lundo la noti zinazo fikia billion 6 au? Maana ni vigumu mtu kuwa na kiasi hicho cha pesa nyumbani kwake. Au ina kuaje kuaje mkuu?
 
Si kweli na mbona hutaji jina lake ? Huyo anayatarajiwa kuondolewa hapo kati kati ya mwezi huu au nani


Ni ile Papa Mkulu Mkulu Pedeshee kabisa!

LOL
 
Mkuu Alien alikutwa na lundo la noti zinazo fikia billion 6 au? Maana ni vigumu mtu kuwa na kiasi hicho cha pesa nyumbani kwake. Au ina kuaje kuaje mkuu?


Mkuu;

Hizo ndo info nataka nijue kama una ukweli wowote.

Kama 3 months ago nilisikia toka source A lakini nikapuuzia. Few weeks tena nikasikia toka Source B. Nasikia kuna safe kwa huyu Mkulu.

Ila sijui kama zilizopatikana ni $$$ au TZS. Nilipojaribu kuwadadisi zaidi kila moja wapo anadai naye alisikia Tetesi vile vile . . .

Nchi hii ya tetesi sana. Mzee V.G. Cent naye alianza hivi hivi. Haki ya Mbongo!
 
Lisemalo lipo..hata Usalama wa Taifa sijui kweli kama tena wanatulinda hujuma za uchumi kama huu!
 
Lisemalo lipo..hata Usalama wa Taifa sijui kweli kama tena wanatulinda hujuma za uchumi kama huu!


Kama ni kweli na PCCB hawakumshughulikia then ina maana ni YALE YALE.

Katika nchi yetu, kila kitu kinawezekana. RA ameshaprove hivyo.
 
Mkulu wa Tanapa si Bigurube, yule mzee ni mlokole bwana
 
Mkulu wa Tanapa si Bigurube, yule mzee ni mlokole bwana

http://www.uhuruinfo.co.tz/page.php?soma=page0,0,1,mz&id=7878

 
Source: Home

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…