Ujumbe Kwa Tanapa - Utalii

Ufisadi wa kutisha taasisi za umma

 
hivi we bado unawaza usalama wa taifa miaka hii! wao kazi yao ni kulinda sisi? mmh! jifanyie usalama kivyako, mbna nowadays 2nafite nao mitaani kufukuzia milupo na wengi wao ni bierre addicted, nji hii inajilinda yenyewe tu na hii inatia uchungu.
 
kuna mtu anajua bilioni sita ina 'ujazo gani' naomba nisaidiwe
 

Dah mkuu hapo V.G. Cent nime cheka mpaka basi. Ngoja tusikie maana watu wanaweza kwa na mavoult makwao.
 
Mkulu wa Tanapa si Bigurube, yule mzee ni mlokole bwana

Acha wewe, Gerald Bigurube hajaokoka lolote. Amevaa tu ngozi ya kondoo, inawezekana kabisa kukutwa na kiasi hiki cha pesa kwani ni fisadi wa kutupwa.

Ndiye anayeuza maeneo yua kujenga mahoteli ya kitalii kwenye mbuga za wanyama, amekataa kutekeleza maagiza ya bodi ya kupandisha asilimia 50 ya mishahara ya wafanyakazi wake, nk. Alikuwa akifuatiliwa na PCCB tangu mapema mwaka huu kwa tuhumu lukuki.
 
hii taarifa inaweza kuwa na ukweli jamani mtu kukaa na fedha nyingi kiasi hicho labda umepitiwa inawezekana zimektwa kwenye akaunti yake
 
wenye data kamili wazimwage la sivyo inaonekana tuna miss kitu fulani sehemu fulani.....habari haijajitoshelezaa......watupe nyeti walio nazo...ingawa kunan harufu fulani tokea wizarani hadi tanapa hadi bodi yao pia.....uozoo
 
Majungu......


Mkuu kanda2, naamini kuna ukweli japo yawezekana kuna kachumvi kanaongezwa ili kuleta taste zaidi!!!! Mali asili na idara zake ni uozo umejaa kule!!! Utafikiri ni private company ya mfanyakazi wa serikali mwenye mamlaka pale!!! Imagine having your own business na jinsi ambavyo you can manipulate it!!! Ndivyo, ilivyo pale. Amini usiamini,hakuna cha majungu hapa!! Habari ndiyo hiyo mkuuu.
 
Tatizo hapa si kweli kuwa bali hata ikiwa kweli nothing this big potatoes will do. They damn cover each other.
 
hivi we bado unawaza usalama wa taifa miaka hii! wao kazi yao ni kulinda sisi? mmh! jifanyie usalama kivyako, mbna nowadays 2nafite nao mitaani kufukuzia milupo na wengi wao ni bierre addicted, nji hii inajilinda yenyewe tu na hii inatia uchungu.

UWT=Usalama Wa Taifa = Usalama Wa Tumbo (La Mafisadi)

Simple and clear!
 
kuna mtu anajua bilioni sita ina 'ujazo gani' naomba nisaidiwe
Mkuu;

Kuna possibility kubwa zilikuwa in USD. Then we only talk of USD 6 Million ambazo hata katika Brief case zinaingia.
 


Mkuu;

Leo nimepata nyeti zaidi. Kwanza inasemekana huyu Bigurube alipoona ngoma ni nzito sana ameandika barua rasmi akiomba astaafu mapema mwezi huu. Kuna fununu kuwa atabwaga manyanga mwishoni mwa mwezi wa sita. Hii inatokana na tuhuma nyingi sana alizonazo ingawa kwa uhakika alikuwa bado ana miaka miwili zaidi ya kufanya kazi kabla ya kustaafu.

Nasikia anadai anataka akafanye mambo yake binafsi.

Bodi ya TANAPA nasikia nayo haina meno. Kuna kipindi Waziri alifanya ziara National parks wafanyakazi wakaifukuza Management na Bodi wasiwepo katika meeting wakidai wote hao ndiyo walikuwa wanawadidimiza. Walichonga sana kuhusu wakulu hao mpaka Waziri akabaki hoi bin taabani.

Kwa sasa Mwenyekiti wa Bodi ndiye aliyekuwa No. 2 wa Epson Usalama wa Taifa. Need we say more?
 
Hongera Allien,

Mie niliipata hii habari mwezi wa pili kutoka kwa mfanyakazi wa TANAPA.

Alikutwa na pesa kama billioni 5 au 6 hivi.

Ni hivi, aliweza kuchota zile pesa alipopata mwanya (loophole). Huyo mwanya ulitokana na Wakuu wa Chama na Serikali kumwambia apeleke billions za kuwalipa waalimu. Alipotoa za waalimu ndipo akapata mwanya wa kuchota hapo zake.

Hakuingia ofisini kama wiki hivi ndipo akaingia tena.

Wafanyakazi wa TANAPA walikuwa wameahidiwa na Bodi ya TANAPA nyongeza ya Mshahara, mpaka Sasa hawajalipwa. Sasa walipokuja kusikia kuwa walimu wamelipwa kwa hela zao ndipo wakaanza migogoro na vitisho vya Kugoma. Wakigoma hawa ni nGoma nzito maana watalii hawataweza kuingia mbugani na ni issue ya kimataifa.

Kuna Hawara wa Bigurube, ambaye ndiye aliyewatonya TAKUKURU na USALAMA WA TAIFA. Bigurube alikuwa na kaugomvi na huyo Hawara yake. Bigurube alishamnunulia Gari Zuri kabisa RAV 4 New Modern na akamfungulia Supermarket. Lakini wanawake bwana ni mapepo. Angalia Delila na Samsoni au ADAM na EVA.

Mie simwambii Mke wangu siri zangu. Simwambii ni wapi napata pesa au dili gani nacheza.

Kwa hiyo wacha siri zifuchuke, hatimae watanzania tutapona. Kwa hiyo bwana Bigurube Amefulia!!! Au MWungwana Alimlinde
 
hii taarifa inaweza kuwa na ukweli jamani mtu kukaa na fedha nyingi kiasi hicho labda umepitiwa inawezekana zimektwa kwenye akaunti yake


Mkuu, kama ufisadi ulifanyika as a result of TANAPA source of funds, then it is more likely pesa zilikuwa in USD kwa kuwa Transactions nyingi ni za Forex.

If that is the case, then it is possible. Si unajua tena TZS 1 Million ambayo roughly ni kama USD 1000 haikai mfukoni lakini USD 500 zinakaa kiulaini tu.

In this country, anything is possible!
 
wenye data kamili wazimwage la sivyo inaonekana tuna miss kitu fulani sehemu fulani.....habari haijajitoshelezaa......watupe nyeti walio nazo...ingawa kunan harufu fulani tokea wizarani hadi tanapa hadi bodi yao pia.....uozoo


Mkuu, hawa jamaa wanakusanya zaid ya USD 1 Billion sawa na zaidi ya TZS Trilion 1. Ni nini Billion 6 in TZS?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…