Mkuu kanda2, naamini kuna ukweli japo yawezekana kuna kachumvi kanaongezwa ili kuleta taste zaidi!!!! Mali asili na idara zake ni uozo umejaa kule!!! Utafikiri ni private company ya mfanyakazi wa serikali mwenye mamlaka pale!!! Imagine having your own business na jinsi ambavyo you can manipulate it!!! Ndivyo, ilivyo pale. Amini usiamini,hakuna cha majungu hapa!! Habari ndiyo hiyo mkuuu.
Tatizo hapa si kweli kuwa bali hata ikiwa kweli nothing this big potatoes will do. They damn cover each other.
walokole ndo wenyewe wanapiga deal kimya kimya huwezi amini.
UWT=Usalama Wa Taifa = Usalama Wa Tumbo (La Mafisadi)
Simple and clear!
Tanapa boss Bigurube quits
The Tanzania National Parks Authority (Tanapa) director- general, Mr Gerald Bigurube, has resigned. Mr Edward Kishe has taken over as the acting director-general.
Information from Tanapa said authorities have accepted his resignation. No reason was given. "Mr Bigurube has already handed over the office after acceptance of his resignation.
We are now under Mr Kishe who is acting, said one Tanapa employee who did not want to be named as he was not its spokesman.
Contacted yesterday to give explanation of his resignation, Mr Bigurube said: "The one who told you that I have resigned should be the one to confirm the reports... I am not the spokesman on the issue at this point."
He said for some time there had been witch-hunting within Tanapa, and people had been circulating allegations against him. But he said what was being peddled in the media were lies.
In recent months, Tanapa has been facing a welter of criticism on mismanagement and funds misuse. The Opposition in Parliament last week sought a detailed explanation on reports of misuse of Sh7.3 billion by Tanapa. In May some sections of the East African media ran stories about Tanapa's financial impropriety.
Tanapa was allegedly found to have been riddled with massive financial irregularities in the latest audit report by Controller and Auditor General (CAG) Ludovick Utouh.
CAG was quoted as saying the procurement of advertising services from CNN and Jambo Publications did not follow procurement procedures.
He said his office found that the Ministry of National Resources and Tourism, contrary to requirements of the Public Procurement Act of 2004, handled all procurement processes.
The total contract sum for advertising with CNN in 2007/08 was $750,000. Further, Tanapa signed a new contract for $800,000 for 2008/09 for advertising services.
According to the CAG Report on the Financial Statements of Public Authorities and Other Bodies for the Financial Year 2007/08, the contract was signed by Mr Bigurube and board chairman Emmanuel Balele.
Both contracts failed to specifically indicate the timing, duration, length and frequency a day of the advertisements.
The contracts also did not indicate details of what time the adverts were to appear or procedures to monitor whether the advertisements were aired at the right time and quality. Terms of payments were also lacking. For instance, Tanapa paid Sh1 billion in October 2007 to CNN.
"The payments were not supported by broadcasting confirmation orders or any other documents confirming frequencies of the advertisements aired by CNN,� said the report.
By Mussa Juma, Arusha - TheCitizen Tanzania
According to the CAG Report on the Financial Statements of Public Authorities and Other Bodies for the Financial Year 2007/08, the contract was signed by Mr Bigurube and board chairman Emmanuel Balele.
Both contracts failed to specifically indicate the timing, duration, length and frequency a day of the advertisements.
The contracts also did not indicate details of what time the adverts were to appear or procedures to monitor whether the advertisements were aired at the right time and quality. Terms of payments were also lacking. For instance, Tanapa paid Sh1 billion in October 2007 to CNN.
"The payments were not supported by broadcasting confirmation orders or any other documents confirming frequencies of the advertisements aired by CNN,� said the report.
By Mussa Juma, Arusha - TheCitizen Tanzania
Hao walifanya huo ubadhilifu chini ya MAMA BLANDINA NYONI.
Sasa wasomaji tuelewe vipi, Bigurube amekataa kuliongelea swala hili kwa kuwa sio "msemaji rasmi" au amesema TANAPA kuna "watafuta wachawi"? Hakuna gazeti hata moja nchini linaloweza kuandika kitu chenye sense?Contacted yesterday to give explanation of his resignation, Mr Bigurube said: "The one who told you that I have resigned should be the one to confirm the reports... I am not the spokesman on the issue at this point."
He said for some time there had been witch-hunting within Tanapa, and people had been circulating allegations against him. But he said what was being peddled in the media were lies.
By Mussa Juma, Arusha - TheCitizen Tanzania
Sasa wasomaji tuelewe vipi, Bigurube amekataa kuliongelea swala hili kwa kuwa sio "msemaji rasmi" au amesema TANAPA kuna "watafuta wachawi"? Hakuna gazeti hata moja nchini linaloweza kuandika kitu chenye sense?
EWaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.... BUt be very worried kwasababu kuna watu watakuja hapa na kusema Blandina is very good na hakuhusika!!! walio ndani wanalijua sana hili ila basi tu!!!
Bigurube is not alone, but i give him big up for "submitting to wananchi" for his wrongdoings ndani ya ukurugenzi
I wish wafuatao wangefuata
Kisha tuje kwa mawaziri
- Mkurugenzi mkuu wa Bandari
- Mkurugenzi wa NSSF
- Mkurugenzi Tanesco - naona sasa anapumua kidogo na wana JF
- Mainjinia wakuu wa manispaa zote za Dar
- Mkurugenzi wa BUgando Medical Centre - wanaohusika wanaelewa saaaana
Swali: hivi hili la kuondoka Bigurube, Mkulu hana mkono wake?
Communication za wabongo huzijui?
Yaani anaposema yeye sio msemaji rasmi maana yake si anakataa kuongelea kila kitu, anakataa kuongelea vile tu ambavyo hataki kuongelea, vile anavyotaka kuongelea ataviongelea hata kama si msemaji rasmi.Such double standards and hypocrisy.
Mambo Jambo,
Kusema kwamba Bw. Bigurube anajiuzulu eti kwa kuwa alipitia ile thread hapa JF ni oversimplification and indicates your lack of knowledge on the matter.
Kwa hiyo, wenyewe wanaelewana? Labda mimi ndio napata shida kuelewa haya mawasiliano ya Kibongo...
Mtu anasema yeye si msemaji wa TANAPA halafu anaongeza TANAPA kuna kutafutana uchawi!
Mambo Jambo,
Kusema kwamba Bw. Bigurube anajiuzulu eti kwa kuwa alipitia ile thread hapa JF ni oversimplification and indicates your lack of knowledge on the matter.
Mkuu hapo nakubaliana na wewe.. kuongezea tu ni kuwa kweli hizi fununu za huyu mkulu wa TANAPA kuondoka zilikuwepi muda mrefu tu na watu walishajua kuwa ataondoka mwezi wa sita, na kwamba mkulu JK alishabariki maamuzi yake kama namna ya kuondoka kistaarabu...kwa sababu madudu yaliyopo huko si ya kitoto!