Ujumbe kwa uongozi wa Simba day na Yanga day, swala ni muhimu kuliko Simba day na Yanga day

Ujumbe kwa uongozi wa Simba day na Yanga day, swala ni muhimu kuliko Simba day na Yanga day

Malaria 2

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2023
Posts
6,846
Reaction score
10,288
Ujumbe huu kwa uongozi wa Simba Day & Yanga wenye imani ya dini ya kiislam (Wasiokuwa waislam haiwahusu)

Mapambio yanaaza ynaanza saa 9 hadi saa 5 usiku.
Swala ya Alaasiri
Swala ya Magharibi
Swala ya Isha
hizo swala zote zinakosekana
Tunajua madhara ya kuacha hizi swala kwa swala la michezo kama hii?

Michezo ni anasa tu
"Mtume Muhammad (S.A.W.) alisema: 'Hakika mtazifuata nyendo za walio kabla yenu shubiri kwa shubiri na dhiraa kwa dhiraa (hata) kama wakiingia kwenye shimo la kenge nanyi mtawafuata.' Tukasema: 'Ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu! (Unamaanisha) Mayahudi na Manasara?' Akasema: 'Ni nani basi (ninayemaanisha) wengine isipokuwa wao?'" (Sahih Bukhari, Kitabu cha Manabii, Hadithi ya 3456)


Mtume Muhammad (S.A.W.) alisema: "Jambo la kwanza ambalo mja ataulizwa Siku ya Kiyama ni sala. Ikiwa sala zake zitakuwa nzuri, basi matendo yake mengine yote yatakuwa mazuri pia." (Hadithi ya Bukhari na Muslim)
Siku hiyo mtu atamkimbia ndugu yake, Na mama yake na baba yake, Na mkewe na wanawe. Kila mtu miongoni mwao siku hiyo atakuwa na jambo la kumtosha mwenyewe." (Qur'an 80:34-37)
 
Ujumbe huu kwa uongozi wa Simba Day & Yanga wenye imani ya dini ya kiislam (Wasiokuwa waislam haiwahusu)

Mapambio yanaaza ynaanza saa 9 hadi saa 5 usiku.
Swala ya Alaasiri
Swala ya Magharibi
Swala ya Isha
hizo swala zote zinakosekana
Tunajua madhara ya kuacha hizi swala kwa swala la michezo kama hii?

Michezo ni anasa tu


Mtume Muhammad (S.A.W.) alisema: "Jambo la kwanza ambalo mja ataulizwa Siku ya Kiyama ni sala. Ikiwa sala zake zitakuwa nzuri, basi matendo yake mengine yote yatakuwa mazuri pia." (Hadithi ya Bukhari na Muslim)
Siku hiyo mtu atamkimbia ndugu yake, Na mama yake na baba yake, Na mkewe na wanawe. Kila mtu miongoni mwao siku hiyo atakuwa na jambo la kumtosha mwenyewe." (Qur'an 80:34-37)
Pale si msilitini, hii ni modern sport, kama hukujiandaa hata usali vipi utakula kipigo tu
 
Dini imekufanya uwe Zombie
Wale ambao husikia kauli na kufuata yaliyo mazuri zaidi kwayo; hao ndio wale ambao Mwenyezi Mungu amewaongoza, na hao ndio wenye akili." (Qur'an 39:18)
 
1719490955641.jpg
 
Pale si msilitini, hii ni modern sport, kama hukujiandaa hata usali vipi utakula kipigo tu

Surah Al-Ankabut, Aya ya 64​

"Na maisha ya dunia si lolote ila ni mchezo na anasa; na hakika nyumba ya Akhera ndiyo yenye uzuri zaidi kwa wale wanaomcha Mwenyezi Mungu. Je, hamfikirii?" (Qur'an 29:64)
 
Back
Top Bottom