TandaleOne
JF-Expert Member
- Sep 4, 2010
- 1,644
- 709
Tumevamiwa...jamani ...nambari wani...wamevamia...jamani nambari wani wanalitawala jukwaa....jamani nambari wani baada ya kuweka matangazo ya wagombea wao mpaka kwenye vyoo vya umma kwa fedha za walipa kodi wanaleta mpaka humu JF...jamani...jamani...jamani...!!
What a prick! Kwa udume upi? maendeleo yapi?
Mbona hizo harakati za campaign na kujitangaza kwa nguvu zote hizo na ubunifu huu hatuuoni linapokuja suala la maendeleo ya mtanzania.
Liko wapi hata jambo moja la kujivunia amabalo CCM imefanya miaka 5 iliyopita?
Aibu!!!
Yes, ila si wapinzani woote...chunguza utaona!Samahani.Eti kwani hapa ni kwa wapinzani peke yao???
Junius,Tumevamiwa...jamani ...nambari wani...wamevamia...jamani nambari wani wanalitawala jukwaa....jamani nambari wani baada ya kuweka matangazo ya wagombea wao mpaka kwenye vyoo vya umma kwa fedha za walipa kodi wanaleta mpaka humu JF...jamani...jamani...jamani...!!
Yes, ila si wapinzani woote...chunguza utaona!
Junius,
Asante kwa tahadhari. Wala sikulifungua hilo lidude.
Samahani.Eti kwani hapa ni kwa wapinzani peke yao???
Nimeona ila video yako imeishia katikati kwenye sekunde ya 30 ilikuwa hivi..........Umeona.Ni vizuri
Nimeona ila video yako imeishia katikati kwenye sekunde ya 30 ilikuwa hivi..........
Aiseeee...................
......................................................
Lol!Kama mimi.Kijani na Njano
Ofcourse ni ujumbe mzuriujumbe mzuri
Ndiyo nimeona hata hawa walikuwepo
What a prick! Kwa udume upi? maendeleo yapi?
Mbona hizo harakati za campaign na kujitangaza kwa nguvu zote hizo na ubunifu huu hatuuoni linapokuja suala la maendeleo ya mtanzania.
Liko wapi hata jambo moja la kujivunia amabalo CCM imefanya miaka 5 iliyopita?
Aibu!!!